JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Bwana mmoja alisafiri kwenda kijijini, alipofika akakuta mtandao wa simu unapatikana bila matatizo. Akamwandikia mke wake sms. Kwa bahati mbaya akakosea namba na ikamwendea mtu mwingine...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
-----NaJiTokEza - kTk oFFicE ya MOYO wako,NaHiTaJi kaZi kTk naFsi yako. -----NinaZosiFa - za kutOsHa kwani nimEsoma kTk cHuo cHa St. LOVE huko EDEN CiTy -----Ktk maSomo niLiocHukua nimEpaTa ZERO...
1 Reactions
7 Replies
14K Views
Tayari mwaka huu ushachukua mabilionea wawili wa Arusha. Sasa mimi nilikuwa najiuliza ni bilionea yupi na wa wapi atakayefuata kurudisha namba? Kwa vile Bishanga ni muathirika mimi natabiri yeye...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Kijanammoja alienda kusomea kazi ya baharia baada ya miaka mitatu akarudi kuja kusalimu home baba kwafuraha akaamua kumtoa out. wakiwa njiani wanatembea kijana akaanza mikogo, akawa anatembea...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kulitokea purukushani kwenye kichaka, mara watu wakaanza kujiuliza kuna nini, ghafla akatokea Baunsa kwenye kile kichaka, wakamuuliza, “ kulikuwa na nini pale?” Akajibu, “wamenifira lakini kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baba alimwambia mwanae "ntakuvulia nguo nikupe radhi kwa sababu hutaki kuacha bangi". Mtoto nae akajibu-"we we wee ukivua tu nakufi*a
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nawasalimu sana wana JF. Nilikuwa offline kwa kipindi kirefu kidogo kutokana na shughuli nilizokuwa nazifanya kijijini ( remote area ). Mtandao ulikuwa unasumbua sana. Sasa nimerudi tena na...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
I ve been thinking alot about this !!!!niambieni wakuu.........
0 Reactions
9 Replies
970 Views
cacico, Kimekuwa kipindi kirefu sana sasa tangu uamue rasmi kunichunia na kunisahau kabisa. Mimi bado nakupenda, na upendo wangu kwako unazidi kuongezeka na kuimarika kadiri siku zinavyosonga...
4 Reactions
59 Replies
4K Views
Hay wanajamvi Mwenzenu nusura nianguke chini kwa kicheko nilichopata jana kwani sikutegemea kitu kama kile nirushiwe hewani namna ile, na huyu mtu yeye ajui kuwa watu tuko kwenye madaladala...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Fikra ngumu; Naomba kufahamishwa kwanini tigo -pesa na m-pesa hawaruhusu " overdraft "....... ! Ili hali namba zetu za simu tumezisajili na wanafahamu wapi pa kutupata kama tusipoonekanaa ...
0 Reactions
2 Replies
986 Views
mabinti watatu wote mnajishtukia mna mpenzi mmoja halafu mnaitana majina mabaya mazito. Itaneni teammates mtatue hilo tatizo.
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Twanga Pepeta nakwenda safarii... (Msafiri Diouf) Ewe Mungu wangu, unipe uwezo Safari yangu, nifike salama Nifike salama, nikamuone Nelly Kusema kweli Nelly nakupenda Niko tayari kubadili...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Poleni sana simba, nasikia ndivo walivotenda hivi hao Liboloooo
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani naskia chuo cha kampala kilichopo Gongo la mboto kina malecturer waganda tu.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hata Ndege Ana Makinda lakini aongozi Bunge. Ni kweli au sio kweli?
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Vichaa waliambiwa watengeneze TV kwa kutumia maboksi. Siku ya kuleta TV vichaa wote wakaleta maboksi kasoro mmoja aliyekuja na karatasi. Dokta akahisi amepona akamuuliza wewe vipi mbona umeleta...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa tukio hili, vijana wa mjini wanasema; kimenuka! Hivi karibuni wanawake watano ambao majina yao hayakuweza kufahamika mara moja walinaswa usiku mnene wakifanya mapenzi na wanaume wawili kwenye...
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Ama kweli mjini shule! Binti mmoja alikuwa akitaka kumuingiza mjini bwanake mmoja. Akatuma meseji hivi: "Baby ninataka kununua jeans moja nzuri lakini tatizo nimesahau pochi nyumbani." Baada ya...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Watu wawili walikuwa wameiba maembe katika harakati za kukimbia wakakibilia chumba cha kuhifadhia maiti bila kujua,na kwa bahati mbaya ilikuwa usiku na umeme ulikuwa umekatika jamaa wa mochwari...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom