JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nimejilaumu sana,nyama gani hii inanukia kama mhindi wa kuchoma?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Dear JF Members,remember, The success of your journey tomorrow begins with the choices you make today
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Umeitwa kutoa suluhisho ktk familia hii, mtoto kala ada ya shule,baba kahonga mtaji wa familia,mama ana ujauzito wa jirani! Je? utaanza na tatizo lipi?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
story ilikuwa hivi: kifaa cha kukamata wezi duniani kilitengenezwa uko japan.kikapelekwa china kika kamata wezi 50 ndani ya dk 5,kikapelekwa ghana ndan ya dk 10 kika kamata wezi 100,kikapelekwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana JF. Hakika sina budi kusema la moyoni kwa huzuni na masikitiko imenibidi niseme haya kwa hakika najihisi km mgeni katika dunia hii najiona nimezama katika kina kikubwa cha maji sioni...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
I am exactly three decade old!!hahahaaa......karibuni tu'blow candles!!!!:majani7:
2 Reactions
28 Replies
2K Views
kila cku naiona hii NEWS ALERT ina maana gani? kwa maono yangu m naona ni habar muhim ila nashangaa hata vichekesho na vngine km hivyo vinaekewa hyo news alert...ndo nn naomba mnijuze wanajamvi
0 Reactions
0 Replies
945 Views
Kama ikitokea unampiga denda demu/bwana wako ukakuta ana mabaki ya chakula ukamwuliza ndo umetoka kula akakujib ametoka kutapika, utafanyanini?.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
An empty stomach is not a good political adviser...
0 Reactions
52 Replies
3K Views
hii lugha hata mamoderator hawaelewi. ngoja sasa nikufundishe. mfano; Arushaone = 4RU5H40N3, NADAme b = M4D4M3 B, watu8 = W4TU8. Arabela = 4R4B3L4. Passion Lady = P4551N L4DY, Invisible =...
7 Reactions
161 Replies
7K Views
Wanajamvi ungana nasi katika furaha hii. Ni leo majira ya saa kumi na mbili ilimpendeza MUNGU Mama V kajifungua salama mtoto wa kike... Utukufu ni kwa Mungu mbinguni.
8 Reactions
76 Replies
4K Views
Kuna jamaa alifungwa jela miaka 7 kwa kosa la wizi wa mamilioni ya pesa. Baada ya miaka 2 akiwa jela anapata barua toka kwa babake, Mwanangu mpendwa umeniacha ktk hali ya uzee na maradhi, wakati...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwalimu;nikikupa njiwa wawili nikakuongezea wawili nikaongeza tena wawili utakuwa na njiwa wangapi? mwanafunz;saba. mwalimu kwa ukali, yaani unasema njiwa wangapi we mtoto...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mke jeuri alikuwa anapigwa na mumewe, ghafla akatokea jiran akasema mke jeuri hapigwi. Mke akamwambia mumewe msikilize jiran mume wangu usinipige. Mume akamuuliza jiran mke hapigwi anafanywa nini...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nitajie matunda matano ambayo hayana mbegu ndani,ukiondoa,nanasi,ndizi na miwa.
0 Reactions
5 Replies
5K Views
city Sport Lounge, mgahawa uliopo katikati ya jiji la Dar, mtaa wa Samora/Azikiwe, kwenye round about ya askari, umekuwa ni kero sana kwa sasa, kila mara hakuna umeme, ama mafundi kila siku...
0 Reactions
2 Replies
995 Views
Msikose coming soon
2 Reactions
7 Replies
2K Views
According to Albert Einstein, if honey bees were to disappear from earth, humans would be dead within 4 years Hapa sijaelewa kwa nn anasema hivyo naomba kujuzwa au ana maana kuwa because...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
hata dobii anapiga pasii vizuri lakini hawezi kucheza barcaaaaaaa!!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar zenu jaman, mi mgen naomba kukaribishwa, nawapenda wote
0 Reactions
2 Replies
718 Views
Back
Top Bottom