Jamaa alimpenda demu mmoja sasa ikabidi amuite bar moja ili wafanye mazungumzo yao
jamaa mhudumu tuletee cocacola
demu: coka nini? Leta kiroba hapa
kama ni wewe ungefanyaje?
Pesa kweli wewe ni kila kitu kwangu, kweli pesa wewe ni kiboko, pesa umeniweka mbali na familia yangu miezi miwili sasa, pesa umenifanya leo nimeamka asubuhi saa kumi na nusu asubuhi kuelekea...
Sijui kwa nini wazazi weng wa kutoka Kilimanjaro wanapenda kuita watoto wao hili jina Glory? Ukienda shuleni, maofisini basi 90 % ni toka kilimanjaro au akitokea eneo lingne basi moja ya mzazi au...
Niliangalia status tatu za
Demu flani Facebook,
ilikuwa ivi.
STATUS YA KWANZA:
"Leo lazima niende club"
Friday at 5:15pm
via Nokia
STATUS YA PILI:
"lol, siamini aiseee... Yaani
kizee...
Tar kama ya Leo ilimpendeza Mungu kuitwa Baba Faith;Pengine wapo waliopita majaribu ya Ndoa napenda kuwapa moyo Mungu ana muda wake;wakati ndugu na binadamu wakikuiita majina kadhaaa usijali jali...
Mwenzangu,
Je unakumbuka wakati tunamaliza secondary iwe O level au A level tulikwa na kitu kinaitwa autograph. Unachukua daftari jipya unabandika picha za magazeti na kuwapa rafiki zako wakupe...
Mwanamke pekee aliye na ridhiko la nafsi , asiye na wasiwasi , asiye na mshawasha kwa 200% ! Roho kumtanga kwamba mumewe yuko wapi , anafanya nini , ni MJANE tu!
Waliobaki wote ni hauchi -...
Kwa uzoefu wangu Watanzania hatukawii kusahau na kuchukulia jambo kuwa NI KAZI YA MUNGU. baada wa SUMATRA kupandisha nauli najua keshokutwa sisi tunaotumia usafiri wa...
Muuza Samaki na Mteja
at
kibandan
Mteja: samaki sh ngapi?
Muuzaji: sh 500
Mteja: mwisho muuzaji: mkiani
Mteja: mbona samaki
mwenyewe kalegea?
Muuzaji: labda alikuwa
shoga baharini
What it says:...
Memo from CEO to Manager:
Today at 11 o'clock there will be a total eclipse of the sun. This is when the sun disappears behind the moon for two minutes. As this is something that...
The intelligence scores came from work carried out earlier this decade by Richard Lynn, a British psychologist, and Tatu Vanhanen, a Finnish political scientist, who analysed IQ studies from 113...
Hi ni popote kwa wote,uwe kijana,mzee,mtu mzima,kwa jinsia zote.Ukijickia lakn--haulazmishwi
check me on email; mandeledenis@gmail.com.
LIFE WITH FRIENDS IS EVERYTHING,JUST TRY IT-----
Kama unamfahamu mtu mwenye wajii wa picha hii ni PM au nipigie 0817547587.
Huyu jamaa anamaliza sana haski za mke wangu mpaka ndoa imekuwa ndoano. nimemuinda bila mafanikio. Nimemchora kwa mujibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.