nauliza kwa ambao washawahi kwenda mafia mnapita wapi kwenda kwa boti? kwa kutokea dar mnapandia wapi boti na nauli zikoje? na usalama? nataka niende kutafuta opportunity za biashara huko
IKIWA NJAA IMEKUSHIKA USIWE NA HOFU SANA WEWE PIGA DUAAA HII MAMBO YATAKUWA SWAFII.
Y aa kabab fil chips kuku minal sosegi,
Ya sambusa wali chapati roast maini,
Innal pilau wali birian ya...
Wiki 2 baada ya haruc,mama alimuuliza bintiye, vp maisha ya ndoa? MTOTO: Du! kama British Airways.
Mama akatoka mpaka airport kuangalia ratiba ya british airways..Akakuta kwa wk inasafir mara 7 na...
Nilianza kumchezea kwa upole sana bila tabu! si ndio nikaanza kulamba!.. Mtoto ametulia tuuh! Nikalamba tena bado mtoto yupo tuliiii. --->
.
.
.
Nikaona nipake mate ili nilambe vizuri! Ile...
Umetoka kwenda town kwenye mishemishe zako umemuachia dada wa kazi maagizo afanya usafi vitu vyako vyote chumbani. Unarudi unakuta kazi hii hapa. Ni kosa la nani na utamfanyaje? Created by Joti...
A man joined a big Multi National Company as a trainee.....
On his first day, he dialed the kitchen and shouted into the phone:
"Get me a cup of coffee, quickly!"
The voice from the other...
Nadhani wote humu mko wazima na makini (wenyewe wanasema gado)..
Yametokea matukio kadhaa kwenye wakati wa sikukuu hii ya Pasaka.. Kuna mengine ambayo yalinilazimisha kuyaundia tume ili kufahamu...
Ni mambo ya kuchekesha sana,ukikumbuka mapenzi enzi za skul,miaka ile,ati tuko skul twaitana wife na husband,sijui hata huyo 'wife' sasa kaolewa na nani na yuko wapi,tulipendana,ukimkosa siku moja...
mtoto mmoja alikua analia makaburini kelikeli sasa jamaa moja akapita akamuuliza mtoto analia nini. Mtoto akajibu kaka wa mke wa maiti ni mjomba wangu je huyu mtoto anahusiano gani na marehemu
Sijui kama ni mimi tu au kina mwenzangu ambao mabosi wao ni their nightmares, hebu tupia hapa kama ukihakikishiwa kutofukuzwa kazi nini utamwambia bosi wako? Toka moyoni kabisa
Tangia neno tiGO lianze kutumika kwenye moja ya Makampuni ya simu kumekuwa na porojo na fafanuzi nyingi kutokana na neno tiGO....
Na wengi wa watu wanatumia neno tiGO na kulifananisha na MAKALIO...
katika mkoa wetu kuna kijana katumia mbinu mmbadala ya kujipatia kipato.Alitangaza kuwa kuna ngulue(kitimoto) kazaa mbwa kiingilio kwenda kumuona huyo mnyama ni sh.100 kwa watoto hadi 500 kwa...
Mtoto: Mama hivi
binadamu walitoka
wapi?
Mama: Mungu
alimuumba Adam na
Hawa wakazaa watoto
wakaujaza ulimwengu.
Baba aliporudi zake toka
kwenye kilevi.
Mtoto: Baba hivi
binadamu walitoka...
You know u have a China phone when......
1. The battery gets full after 3 minutes of charging...
2. The phone has a TV, microwave, torch,nail cutter, tooth brush, cigarette lighter
3. Text...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.