Morning wana JF. Japo bado niko ktk bed lakini kausingizi kamepotea. Naomba ushauli na uzoefu wenu katika hizi gari mbili maana nataka mojawapo iwe my first Car. Maeneo muhimu ni comfortability...
Tupia couples za masupastaa wa kibongo unazozijua hata huna uhakika umesikiasikia tu,we tupia,ila zisiwe za zaman tupia latest mf gadner na jide,amin na lina,marlaw na besta ......etc
Pole Na Majukumu Ya Kila Siku Mtanzania Mwenzangu, Vipi Umeshapata MAISHA BORA Kama Walivyokuahidi CCM 2005 Na 2010? Anayekuuliza Si Mwanasiasa, sam Ni Mwanaharakati!! Hebu Jiulize Hawa Wanaotoa...
Jamaa mmoja laiamua kwenda kumtupa paka wake mbali na home, aliporudi bade home alimkuta paka katia timu kitambo tu, jamaa akakasirika sana.
Siku ya pili aliamua kwenda umbali kama 50kms hivi...
SOFTWARE VS HARDWARE,contextually software refers to EDUCATION and HARDWARE refers to LIFE,LIFE can not command education but education can command life,that being the case why most of graduates...
Jambaz akiwa na bundik alvamia benk baada ya kupewa hela akamuulza mwanamke mmoja
"umeniona nikiiba benk"
mwnamke akajibu "ndio" akampiga risasi ya kichwa
akawaulza wanandoa walikua pembeni...
Samahani Wandungu kwa Kuleta Hii Topic Huku.
Naomba Kuuliza Hili swali Kidogo Kuhusu Whatsapp.
1. Je Simu Aina Ya Ideos U8150 InaSupport WhatsApp?
Samahani lakini.
Sina uhakika sana kama kisa hiki kilitokea kweli lakini kama kilitokea KUDOS kwa mtenda. In addition to that, i wish to do exactly the sama. Soma mwenyewe:
" Et jamaa...
Nauliza tu kaswali kwamba ikiwa siku ya wajinga duaniani itaadhimishwa kitaifa, nani anafaa kuwa mgeni Rasmi?
Mimi nahisi ni Mwigulu Mchemba....wewe je?
Ndugu zangu Rafiki zangu, Arusha wing
Ukifika wakati kama huu unajikuta hata maneno ya kusema hamna, nilikuja Ar tarehe 20/2 na ninaondoka tarehe 20/3 kurudi Dar, mwezi mmoja umepita ndio maana...
Girl: Hi Baby...
Boy: Hi My Love...
(Sending failed)
Girl: Are You Here?
Boy: Yes Yes I'm Here
(Sending
failed)
Girl: Are You Ignoring Me
Or
What!?
Boy: Honey, I'm Not... I'm
Right...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.