JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hivi nikweli?. nasemekana kuwa mnauhusiano na wanyama jamii ya nyani mnapoitana munatumia neno yego. nyani na tumbili na huitana hivyo, yegoyego,yego.yegoyego.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
The Queen's Riddle Mwai Kibaki met with the Queen of England. He asked her, "Your Majesty, how do you run such an efficient government? Are there any tips you can give to me?" "Well,"...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Mwanangu King'asti ni wiki sasa mimi na umbu lako tunakutafuta kwenye simu lakini kila tukipiga tunajibiwa eti unabadili badili line, kwani hujui kwamba moja yatosha...! Angalia kubadilibadili...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
CHEMSHA BONGO WAKUU; Nataka kujua km ww ni mtoto wa TOWN, sehem gani hapa dar kuna majengo ya kifahari na hiyo, hiyo sehem jina lake ni chombo cha kupikia jikoni, hilo, hilo jina ni jina la msanii...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Mida ya saa 12 jioni jamaa kahangaikia gari(daladala) hadi kapata. Kaingia ndani na 500 tu mfukoni halafu ndani wamebanana kiasi kwamba hata kunyanyua mkono wala kujikuna mtu hauwezi.Unaona bwana...
1 Reactions
51 Replies
7K Views
Mwenye Kigugumizi kapewa mua ale akajibu ! Si____si_____siwez_______ ---- _____----_____kumaliza ni___nina___ uboo____uboo_____Ubovu wa meno ___ la____la____labda __2___2___2katiane....!!!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna wanyama kama ngombe anatabia ya kuenda haja huku anatenbea kwa madhumuni ya kuokoa muda. Je ndugu unajitahidi kiasi gani katika kuokoa muda wako?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamaa hakika pasaka itakuwa chungu leo na ukumbusho kesho na kesho kutwa baada ya kuibiwa gari na changudoa hapa maeneo xa kaumba bar mjini moro.jamaa alikuja peke yake bar,ila kuna madada...
1 Reactions
68 Replies
5K Views
Embu tudiskasi hii ki2? Asilimia 85 ya kina dada wamejazia makalio yao hadi wengine unawaonea huruma kama yanawaelemea vile, au kuna aina ya chakula wanakula ambacho kinakuza iyo mambo? Hapa nipo...
0 Reactions
76 Replies
7K Views
Habari wandugu, Jamani nina siku mbili mfululizo sina umeme nyumbani kwangu. Na huwa nina mazoea ya kunua vitu vya mwezi mzima. Hivi ninavyoongea Samaki wote waliotoka kanda ya ziwa kwishne...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wadau wa chit chat, ningependa leo tukumbushiane matani ya zamani, mimi naanza hivi.. Muone kwanza miguu kama spoku za baiskeli, kichwa kama boga, twende sasa, ndio maana mnene mpaka unajipepea...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Habarini wanduga kuna lile tangazo la Chacha na Masawe , ambapo Masawe anamuuliza Chacha atapata wapi kaptula kubwa yenye mamifuko makubwa anataka kwenda China kibiashara. mwenye tangazo hilo...
0 Reactions
2 Replies
831 Views
Jamani hv mshawah kufuatilia ndege aitwaye bata wa jinsia ya kiume? Hivi kile kimnyororo kinachotoka wakati anafanya 'matusi' ndio uume wake? ni kwanini umejivirigana vile na kwanini unachelewa...
2 Reactions
37 Replies
5K Views
VUNJIKA MBAVU HAPA........KAMA AKIBA UNAZO ~ N.O.W
0 Reactions
24 Replies
8K Views
ndugu zangu ni jambo la kawaida kusikia msemo unaosema 'wanawake hawapendani' na upo hata msemo mwingine unaosemwa 'adui ya mwanamke ni mwanamke mwenzake'. wadau napenda tujadili hili swala, je ni...
1 Reactions
61 Replies
7K Views
Kulikuwa na wavuta bangi wawili ambao walikuwa wanackia njaa xana! katika pilka pilka za kutembea wakaona mti wa maembe wenye maembe mabivu! Wavuta bangi hao hawakuslek wakaanza kupura kupura...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakati wa msosi dingi anamlazimisha dogo aombee chakula, dogo akawa hataki lakini baada ya kulazimishwa sana akaanza kuombea chakula ili wale. Akaanza: "Ee Mungu nakushukuru kwa kutubariki...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mtanzania na mkenya waliingia supermarket moja jjni Dsm,walipotoka Mkenya akawa anajigamba kwamba wakenya ni wajanja kuliko wa Tz huku akimwonyesha mTz chokolet tatu alizoiba supermarket,mbongo...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Pasta: "Ningekuwa na uwezo,ningechukua BIA zote nikazitupe kwenye mto Waumini: Ameen! Pasta: Ningekuwa na uwezo,ningechukua KONYANGI zote nizitupe mtoni..... Waumini: Amen! Pasta...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom