Jamani kipindi hiki cha pasaka ningefurahi kuonana na binti huyu ,hebu niombeeni ndoto hii itimie
tafadhari zion daughter ni pm unipe namba yako japo nisikie tu sauti yako
S.L.P 2655770 DSM
26/03/2013.
Ndg, Wadau wa ChitChat
YAH: OMBI LA KUKUTEMBELEA PASSAKA
Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu, mimi ni ndg.yako wa karibu na ni Mtanzania halisi...
Wakuu heshma yenu,
kama nilivyoahidi wakati naondoka arachuga kuwa ntarudi wakati umewadia kesho ntakuwa arusha for more ten days, hope kwa wale watakaopata nafasi tutawasiliana na kuonana na...
Nina muda kidogo sijaingia jukwaa dume hili, majukumu na kukosa muda, muniwie radhi wanachama waandamizi.
Nimekua kidogo, hata muziki ninaoupenda umebadilika na leo nimewaletea kibao...
Nimekutana na falsa yao moja iliyonishawishi KUAMINI kuwa mikataba iliyosainiwa juzi HAPA TANZANIA ni katika kuitekeleza hiyo falsa yao. Inasema hivi,...................................invest in...
1.Naskia una sura mbaya mpaka
ukijiangalia kwenye kioo kinaandika
''please wait''
2.Dada zako ni wabaya hadi
mmeweka
tangazo getinieti oa mmoja upate
wa pili
bure
3.Wewe ni mweusi hadi...
jamani dar es salaaam ndo inasifika kuwa na mawali nazi wengi,hasa mitaa ya manyanya,msisiri,mwananyamal keko yote hii nayo km hamjaelewa wale man wanaosaidia kazi za night za wadada...utakutana...
Habari zenu wapendwa wa CC.
Nimekuwa najiuliza mara kadhaa hivi ukipata kashifa/tuhuma ziwe za kweli ama za uongo ziwe nzuri ama mbaya unatakiwa kufanya nini.?
Nikafikiria sana mpaka nikaingia...
Ghaai mwathani nmediscover that nime2mia 4000 000ksh since i bought a safaricm line you can chek uas by dialing *141*50*070566854# how i wsh ningesave ninunue gari!
Kuna jamaa mmoja alipata ajali na kupelekwa hosi macho yake mawili yakaaribka na ikamlazmu abadilishiwe kafka pale daktari kamwambia macho ambayo yamebaki ni ya paka dah jamaa alikubali...
Watu wawili, mwanamke na mwanamme walikwenda kwa daktari mtaalamu wa mambo ya uzazi. Daktari akawauliza, "Ninaweza kuwasaidia nini?" Mwanaume akamwambia, "Tafadhali daktari unaweza kututazama...
2kutane pale msasan club wagumu wenzangu wa jf hasa chit chat katika show ya hiphop leo had mkesha... Copy kwa wagumu wote jf wakiongozwa na bishanga na bujibuji
Guys...!
Babu hakujua kuwa leo ni Good Friday!.....So he did it by mistake.
Hata hivyo, kwani kongoro ni nyama?......Eti?.....!
Babu anawatakia PASAKA njema!
Babu loves you all.....!
A boy goes to his mother one day with a puzzled look on his face. "Say Mom, why is my bigger brother named Mighty Storm"?
"Because he was conceived during a mighty storm", she said.
Then he...
Napenda kukukaribisha kwenye pati ya WASUKUMA itakayofanyika trh 31/3/13 saa 2:30 ucku mlimani city, Kutakuwa na vyakula vya Asili km, nkalango. Ngagani, kubita, lunani,
>Shihele
>Magukulu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.