JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Salaam hii ya kisiasa imebuniwa na kusambazwa sehemu nyingi za mkoa wa Mtwara. Iko hivi: KIONGOZI: CCM oyeeeee! WANANCHI: Haitokiiiiiii. Haitoki!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Safari ilikuwa bomba sana ila muda ulikuwa kiduchu nikaonana face to face na mwana JF mmoja maeneo ya maktaba kuna bustani nzuri saaaana. Shukran zimwendee huyu mwana jf Mwanyasi akiwa mkanjuni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
S.L.P 488400 DSM 24/03/2013.Ndg,YAH: OMBI LA KUKUTEMBELEA PASSAKA Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu, mimi ni wa karibu na ni Mtanzania halisi.NINAOMBA KUKARIBISHWA KWENYE YA...
0 Reactions
1 Replies
641 Views
........ Hivi hii tabia ya kuloweka mavazi ya ndani siku mbili mpaka tatu... ni sahihi??? ...ninavyojua mie hizi nguo za sirini kila BINTI/MWANAMKE hanabudi zitakatisha pale awapo bafuni akioga...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Ukienda kula lunch on date na girl badae mkapumzike kwenye nyumba zetu zileeee, ukaagiza chips yai na soda then akakutext "ungeagiza ugali nyama choma, ushushie na maji ingekua poa sana my boy"...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
A woman gets on a bus with her baby. The driver says: "Ugh, that's the ugliest baby I've ever seen." The woman walks to the rear of the bus and sits down, fuming. She says to a man next to her...
0 Reactions
0 Replies
997 Views
Nimekutana na hili mahali, kwa lolote lile kipi rahisi? Kuomba ruhusa kufanya jambo? Au kufanya na kuja kuomba msamaha baadae? We unapendelea lipi? Hasa kwenye mahusiano
0 Reactions
1 Replies
1K Views
upo wapi ww? Njoo hapa israeli PUB tupo na yuda ana mihela balaa! kasha muuza yesu,hapa ni nyama choma na mvinyo, si petro,luka,wala marko wote wapo chakariiii ile mbaya...!!!!! tumemtuma yakobo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
me binafsi kuna huyu Madodi nahisi alichezea Ban kwani kuna siku alitukana mods hadharani!
0 Reactions
203 Replies
12K Views
  • Closed
Jukwaa la wakubwa nalipataje humu ndani?
0 Reactions
2 Replies
540 Views
kama una anuani ya mwl Nyerere naomba umtumie hii barua yake: dear mwl Nyerere, tangu uondoke hali hapa Tanzania imebadilika, siku hizi mlima kilimanjaro uko Kenya ziwa Nyasa liko malawi...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Chizi kapelekwa hospitali mambo yakawa hivi Doka: unatatizo gani Chizi: Nikilala huwa naota nyani wanacheza mpira!!! Dokta: Itabidi nikupe dawa ili usiote tena Chizi : Labda unipe kesho maana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Dog & Bone, Girls & Money, Guys & Sex, Police & Bribe, Pastors & Seed, Native Doctor & Fowl, Monkey & Banana, Terry G & Weed, Jim Iyke & fight, Jonathan & committee, Uamsho & ......., 2face &...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Me mgen napapenda xn apa kwny jokes!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
SWALI ALILOULIZWA PWEZA HUYU:- NI CHAMA GANI KITAKUFA NA KUZIKWA KABISA 2015? NAYE BILA HURUMA AKAKICHAGUA CCM KAMA PICHA INAVYOONEKANA?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hebu niambie kinyume cha Mama mja mzito
0 Reactions
30 Replies
33K Views
0 Reactions
0 Replies
677 Views
Binti aliyetoweka kijjni kwao arejea afta 10yrz; Baba; We mtoto ulipotelea wap, unajua ulimtesa sana mama yako? Bint: Nlikua nafanya kaz ya umalaya marekan. Dngi; Mshenz mkubwa we, umetutia aibu...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
S.L.P 2013 IRINGA 26/ 03/2013. Ndg, YAH: OMBI LA KUKUTEMBELEA PASAKA. Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu, mimi ni ndg yako wa karibu ni Mtanzania halisi. NINAOMBA KUKARIBISHWA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Duniani kuna watu wa ajabu yani huwezi amini leo kanisan nimekaa na jamaa 1 anavuta sigara kanisani bila woga! nilitetemeka nusura niangushe konyagi yangu! Sent from my BlackBerry 9300 using...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom