JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jana baada ya kazi nikasogea maeneo fulani ili kuisindikiza jioni na kukwepa foleni za jiji la mafujo. Nikiwa busy nakunywa huku nikiwaza kwa lugha za kigeni, mara akatokea msichana mlimbwende...
8 Reactions
107 Replies
6K Views
Remember,all man wants is an attractive woman not a beutiful woman. Beuty, after all, is in the eyes of the beholder,vaa vizuri,pendeza.
1 Reactions
252 Replies
11K Views
They are five and these most men admire them; beauty/ being attractive God Fearing Behaviours Boldness and Confidence. Men what is your say on this?
0 Reactions
20 Replies
2K Views
2 Reactions
0 Replies
525 Views
Asubuhi ni kama KITABU, kila unapoamka unafungua ukurasa mpya. Mungu pekee ndiye anajua zimebaki KURASA ngapi?
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Tofaut ya Ukopaji Mzungu na Mswahili. Mzungu: Hi bro, I need $100, wil pay u back on Monday. Mswahil: Kaka vp, shwari? Dah hatuonani mzee, vp mishe, mnatunyima nn, juz nimekuona kwa mbali...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Bubu ndani ya mahakama!alipoulizwa jina lake alijishika koo na sehemu zake nyeti,Hakimu akakasilika kwanini? bubu anatania mahakama.Ikabidi atafutwe mtaalamu wa lugha za mabubu akasema kuwa jina...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
chagua jibu moja, mbili au tatu: sleepy sad irritated happy jealous surprised in love worried anxious depressed excited enthusiastic bored lonely hungry angry satisfied desperate hopeful...
3 Reactions
50 Replies
3K Views
:A S shade:UPARA bila ELIMU ni sawa KOVU:A S shade:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dogo mmoja aliibiwa yebo yebo zake msikitini akawa analia kweli Shekhe akamwambia uslie ww muachie Mungu. Dogo akajibu hata Mungu azimtoshi maana ni ndogo sana. Sent from my BlackBerry 9300...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamaa mmoja aliandoka jioni moja na kwenda ufukweni baada ya kufika ufukweni katulia akaja mzungu mmoja akamkuta katulia,mzungu kamuuliza jamaa are u rest?,jamaa kajibu no..mzungu kaondoka akaja...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamaa karudi toka job mpole! MKE: vipi leo mbona mapema na mpole? MUME: ofisi yetu imeungua na watu wote wamekufa, MKE: ilikuwaje wewe ukapona? MUME: nilikuwa chooni, jirani na ofisi...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Marekani wanandoa wakiwa wanaenda kulala husema 'good night baby' Uingereza 'sweet dreams honey' Australia 'good night my love' Tanzania 'umefunga milango na madirisha?dagaa umeweka vzr panya...
0 Reactions
0 Replies
686 Views
Inasemekana kutokana na wingiwao wameitana majina mpaka yameisha sasa wamekuwa kama wa china. mashamba,mchele,maliwa,mahalage,makonda,ndelema,mavuno,masanja,bojiko,mang'ombe,mbuli,makoye,madilisha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama umeclick hapa we ni ----- unataka kwenda ulaya ili iweje kule ushoga dili, kwa maisha haya utaolewa,sorry kwa wenye wazo tofaut.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nakumbuka miaka ya 90 na mwanzoni mwa 2000 kulikuwa na majarida ambayo yalikuwa gumzo mtaani kila yakitoka,majarida haya yalikuwa yakitoka mara moja kwa mwezi. Kulikuwa na Sani -burudisho la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
0 Reactions
4 Replies
2K Views
mwl: tunga sentensi kwa kutumia neno sukari Mwanafunzi: " Jana nilikunywa chai" mwl: mbona hamna neno sukari Mwanafunzi: ipo ndani ya chai
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenyekiti Baba V.. Salamu sana ama baada ya salamu mie mzima kimwili ila kiroho nina majonzi sana.. Mwenyekiti Baba V.. kama unakumbuka niliaga siku niliosafiri kwa kuwa nilijua kuna watu...
5 Reactions
238 Replies
11K Views
Nataka tu tupige stori..
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Back
Top Bottom