JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kwa mara nyingine ndugu zangu wana cc na JF kwa ujumla nafunguka kwa kusema kuwa mimi ni mwanaume mwenye furaha kuliko wanaume wote humu JF na Duniani kwa ujumla. Kama yupo afunguke cc...
1 Reactions
81 Replies
4K Views
Wadau japo kwa kifupi nimeona niwatiririshie news za udaku japo kiduchu kabla hazijapoa, Kwa hisani ya TANMO Bishanga na Elizabeth Dominic... I. Siri ya sosoliso kusafiri kwenda Tanga ghafla...
12 Reactions
65 Replies
4K Views
Mwalimu alisema: laiti jana ingekuwa kesho leo ingekuwa ijumaa! Je mwalimu alikuwa akiongea siku gani?
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Wana chit chat, taifa starz oyeee.. Eti kama si kuwa mwanadamu ungependa kuwa nan? Uwe 'ngazi' upandwe kila siku, uwe 'vocha' uwe unakwanguliwa, uwe ATM card uwe unaingizwa, uwe mti uwe unakatwa...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
me mgen napapenda xn apa kwny jokes
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Insha... Swali: Andika jinsi ya kutayarisha hotuba. (40 mrks) Dogo bila kujua hotuba ni nini alijibu hivi... Kwanza osha hotuba yako vizuri halafu toa maganda. - Katakata hotuba yako. -...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
This is fascinating. Be sure to go all the way to the end. 1 x 8 + 1 = 9 12 x 8 + 2 = 98 123 x 8 + 3 = 987 1234 x 8 + 4 = 9876 12345 x 8 + 5 = 98765 123456 x 8 + 6 = 987654...
6 Reactions
34 Replies
6K Views
Mwalimu alisema: 'Laiti jana ingekuwa kesho,leo ingekuwa Ijumaa.' Je,Mwalimu huyo aliyasema hayo siku gani?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Uzee mwisho kijijini, mjini kila mtu baby....
1 Reactions
14 Replies
1K Views
huwa najiuliza sana,siku tumeamka asubuhi then baada ya kufungua mlango tu tunakuta hakuna nje.
0 Reactions
10 Replies
985 Views
Jana mchana (19/01/2013) Wana JF tuliopo Tanga tulikutana na kujadili mambo kadhaa ikiwa ni pamoja na kuchagua uongozi. Nitumie fursa hii kuwapongeza na kuwashukuru wote waliohudhuria kikao...
16 Reactions
283 Replies
11K Views
  • Closed
JINA HALISI: Philipo Augustino Mulugo ELIMU: "FAILURE" Darasa la Saba, 1988 JINA FEKI: Hamimu Hassan ELIMU: Darasa la Saba, 1989 (Baada ya kufeli mwaka 1988) JI...NA FEKI: Hamimu Augustino...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Tule Tunywe Tuongee Tufurahi Mwisho wa siku.... Kila mtu analipa bili yake...... Niko hilton hotel mpaka pasaka Hivi mange kimambi bado yuko dubai?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Huu Ni Mwaka wa 3 sasa ndani ya JF huwaga Ban naisikia tu natamani na mm niipate siku moja.Mwenye uelewa anieleweshe ukipigwa Ban unaishije? Au nifanye kitu Gani na mm hiyo Ban niipate?
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Tofaut ya Ukopaji Mzungu na Mswahili. Mzungu: Hi bro, I need 5,000 i wil pay u back on Monday. Mswahil: Kaka vipi, shwari? Dah hatuonani mzee, vipi mishemishe, mnatunyima nini, juzi...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
[MWANDISHI]: muheshimiwa umaweza kutuambia kwanini nchi yako ni maskini? [RAISI]: hata mi nashangaa na sijui kwanini nchi yangu ni maskini. [MWANDISHI]: je mh. unaweza kutuambia kwanini...
0 Reactions
0 Replies
963 Views
Jukwaa la wajanja..... Anayebisha aseme..... hili ndilo jukwaa numero uno jf Kopi: C.T.U na wahanga wenzio wa chuki (haters) Mnaoichukia chit chat mwaka huu mtakula sumu ya panya Na nnasema...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Msichana mmoja alimpeleka mchumba kwao kwa utambulisho: Alpofka 2 baba yake akaona kasoro maana kijana alikuwa mweuc tii. Anamatege makali, namakengeza ya maana. Mwanaume alipoona sura ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Konda:Mia 3 kariakoo ya kukaa hii*3, mara akamuona mrembo kasimama bize na simu. Konda: Sister unaenda? Mrembo: Niende wapi wewe? Konda: Kwa huyo unaemtumia "Please call me":fear:
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mambo vipi wandugu. Kuna wezi wamevunja duka na kuniibia vi2 ikiwa ni pamoja na pesa nyingi. Mwenye kumjua MGANGA mzuri naomba anipe mawasiliano nae anisaidie pls. Pesa na mali nazitaji zirudi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom