Why do you judge me?
You have not walked in my shoes!
You have not been down my road!
You have not carried my load!
Why Do you judge me Judgement?
You think you know my story!
You think...
Bona bana....
Bona baaana...
Bona bana...
Lutambukage....
Mbaluga omumalembo....
Namuleta.....
Namuletaaa...
Namuleta The secretary.....
Naluga omumalembo....
Nolya noyenda........
Nimeamua kujipongeza hepi besidei baada ya kutimiza mwaka hapa Efu jei.
Si mchezo, mwaka mzima ukiwa unafurahia kupasuliwa vichwa na watu usiowafahamu kimwili bali kimawazo tu.
Ni starehe ya aina...
Jamani vita vya panzi nafuu kwa kunguru ila hapa nauliza amu ninaweza kukudivert kwenye njia yangu?Ila kama hautajali na mimi Ill take an extra care please popote ulipo pokea huu ujumbe japo...
Ayaa! sikukuu nyingine hiyo inakuja pasaka. PASAKA. YA MWAKA HUU WAMEKUJA KIVINGINE KABISA, WAREMBO PESA ZAO WAMEGEUZA MITAJI YA MADUKANI WAO NI KUJILIPUA ILI WABABA NA WAKAKA MKAZMIKE KWAO KWA...
Mtoto aliamka mapema kuliko kawaida kwenda shule.baba kamuuliza mbona umewah sana? Mtto:nawah sambusa za mwalm. Baba:pumbavu mie niljua unawah kusoma kumbe unawaza sambusa Mtto: funguka baba elimu...
Haya majina yanayoanzia na herufi '' T '' sijui yana nuksi gani??
TIGO - Mtandao m'bovu kushinda yote duniani
TFF - (Mpira wa miguu) Chama cha soka kilichojaa rushwa mpaka kero
TANESCO - Hawa...
Muda mfupi kabla ya Muya kuhudhuria ktk mwaliko, mama yake bhabra alilalamika mbele ya bhabra (mwenye miaka minne) kuwa hapendi kula na muya kwa kuwa muya anatafuna kama nguruwe. Baada ya muya...
Mkuu, ulishasema hapa jf kuwa wewe ni "agnostic".
Sasa naomba kuuliza, is it possible to be "agnostic christian"?
If yes/no why?
Wewe upo upande upi wa agnotism?
Karibu sana.
Kwa asiye...
Ukiwa unaongea uongo uwe unajipanga vya kutosha,.Jamaa mmoja alipata aibu ya mwaka baada ya kujifanya baharia akawambia watu aisee nimezunguka bandari zote dunian, kama china, afrika...
Shekhe alikuwa anakatiza mtaan,Punde akamwona mtoto mdogo yupo getin ameshindwa kubonyeza shwich ya kengele.Shekh kwa uruma ikabidi ambebe yule mtoto akabonyeza kengele.baada ya hapo akamwuliza...
Kutokana na Vasco Da Gama kwenda mara kwa mara airport kukwea pipa katika safari zake za kihistoria, dogo mmoja mtaani kwetu ameshauri ikulu ijengwe Kipawa
Source: Mimi mwenyewe nilikuwepo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.