JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
mama mmoja wa kihaya alidu na msukuma msukuma akawa hajui kupiga katelelo akaingia moja kwa moja kamailivyo kawaidayetu manguvu kwa sana, mhaya akashitukia mzeekipara amesha zama mhaya akaluka...
1 Reactions
20 Replies
13K Views
Jamaa mmoja alienda kuomba kazi kwenye ZOO. Akaambiwa nafasi ya kazi ipo ila hakuna sokwe" hivyo utajifanya sokwe na tutakupa ngozi ya sokwe utavaa" Jamaa siku ya kwanza akavaa, walipokuja...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Jamaa mmoja alienda kuomba kazi kwenye ZOO. Akaambiwa nafasi ya kazi ipo ila hakuna sokwe. "Hivyo utajifanya Sokwe na tutakupa ngozi utavaa" Jamaa siku ya kwanza akavaa, walipokuja Watalii mambo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
David beckamp kipindi hicho akiwa mchezaji wa man u aliingia supermaket moja huko london na akaamuru milango yote ifungwe na watu waliopo ndani wachague vitu beckmp atawalipia na waliopo nje...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimekukumbuka sana mpenzi mara ya mwisho niliku-pm miezi kadhaa iliyopita.Msg yako moja tu ilinipa raha ya ajabu.Kama upo naomba tujisosomole hapa uwanjani.
0 Reactions
22 Replies
2K Views
hivi kaka yako akiwa ameoa si unasema, kaka yangu ana mke,,,, je kaka zako wote wakioa utasemaje???
0 Reactions
13 Replies
3K Views
MUNGU akulinde LEO na KESHO,Upendwe kama NYERERE,uishi maisha marefu kama bi kidude,usipoteze umaarufu kama Mandela,uwe jasiri kama Z.kabwe, upate safari nyingi kama Kikwete, usiwe na hila kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajf mnaoishi USA naomba maoni yenu. Mie nipo TZ ila mke wangu anaishi US na nimefanikiwa viza ili nije nimjoin . Tatizo ni kuwa nimepata kazi ya prof bongo na nategemea mshahara wa kama...
0 Reactions
97 Replies
9K Views
Wadau hivi zile nafasi za kazi zilizotangazwa na Pspf mwezi uliopita haijaanza kuitwa watu kwa ajili ya ile interview yao ya kizushi?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
A huge muscular man walks into a bar and orders a beer. The bartender hands him the beer and says, "You know, I'm not gay but I want to compliment you on your physique, it really is phenomenal...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hatimae nimetimiza ahadi ile nilioitoa kwako mpenzi Paloma.. Nimeamua kukunulia Land Rover Freelander short chasis.. Najua hapa kati zimetokea stori nyingi ati oh mara nimewakuta kwenye mtaro...
9 Reactions
286 Replies
14K Views
jamani,najua great thinkers wengi mmeishi maeneo mbali mbali na mikoa tofauti tofauti,sasa ebu tuambizane ni mkoa gani unaongoza kwa kunywa pombe za KIENYEJI na INAITWAJE?? mimi binafsi naona MKOA...
0 Reactions
17 Replies
9K Views
(Joni) dogo wa darasa la kwanza kafika shule akaanza kulalamika kwa mwalimu wake wa darasa kwamba la kwanza si saizi yake na anataka arushwe hadi darasa la tatu kwa maana anaamini ana akili...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa yeyote atakaye guswa na hili tunahitaji mchango wake wa hali na mali,Mimi ni mfugaji wa Nyani,lakini kwa bahati mbaya Mama yake nyani ninye Mfuga amefariki usiku huu,so tunaomba mchango wenu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndani ya meli,wa2 makabila tofauti walikua na mizigo,meli ilizidiwa ilibidi mizigo ipunguzwe,Mzungu akatupa computer, akasema"kwe2 zpo tele, Mchina akatupa box la cmu akasema"kwetu zipo tele"...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Vichaa walikuwa wanahamishwa hosptl 1 had nyingine kwa usafir wa ndege mazungumzo kat ya ruban na kichaa 1 KICHAA :naomba niendeshe RUBAN: huwez we c unaumwa KICHAA: nimepona RUBAN: nakupa kaz...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika kata moja huko mbeya, diwani mmoja aliitisha mkutano kwaajil ya kuchangishana pesa ili kujenga ukuta wa makaburi sasa diwan akatoa wazo kuwa kila mwananch atoe sh15000 sasa akauliza je kuna...
0 Reactions
6 Replies
11K Views
MISEMO YA USWAHILINI KWETU HUKU.... Lakini tambua yakuwa....... 1.hata uwe shabiki wa Diamond kias gani huwezi kukubali kuwa na Domo kama Lake... 2. Ushuzi ndio Gesi original ya Mtwara...
0 Reactions
2 Replies
22K Views
Habari wana JF. Nimeamua kukupa faida katika matumizi yako ya JF jokes. Hizi ni namba unazoweza kupiga na utaona faida baada ya kupokelewa. *141*1000*0773965788# *141*1500*0777430009#...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
*wazo la leo* kuzaiiwa na govi ni mipango ya mungu ila kuzeeka nalo ni uzembe wako!! (Mchana mwema)
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom