JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mwalim: Issa utaniambia leo huyo Asha unauhusiano gani naye? Issa : Ah Asha mimi ni kama demu wangu tu kinaaa hapa shule ni mwanafunzi mwenzangu mwalim; Eboo! wewe usililetee mambo ya kijinga...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilikuwa site pamoja na wafanyakazi wenzangu katika kampuni moja ya kichina inayojishughulisha na ujenzi wa barabara. Siku hiyo kulikuwa na shughuli inayo involve cement kuchanganywa na...
5 Reactions
46 Replies
5K Views
Mume: Hello baby! Mke: Hello sweety. Mume: Nitachelewa kurudi leo. Mke: Nishakujua uko kwa wanawake wako! Jianaume lihuni kama nini! Sijui ilikuaje nikakubali unioe! Nakuchukia kama nini...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Fundi majeneza alipata oda ya Jeneza akawa anapeleka kwa gari yake.Njiani gari ikaharibika,akaamua kubeba kichwani kumpelekea mteja wake akakutana na askari wa4 wakiwa doria,akajua lazima...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
halo wadau wa JF, mi nilimaliza CBE advance diploma of accounting, nina Gpa ya lower second, nimefanya application kadhaa lkn bado sijapata kazi, nifanyaje ili nipate kazi? Kama application...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Nategemea kutoa video yangu soon so natafuta modo wa kuipendezesha video yangu. Itakuwa yutyubu ikimalizika
1 Reactions
55 Replies
3K Views
Nimejaribu kuona mlolongo wa vituko hapa JF na hasa CC na mambo yanavyoendelea naona mimi nitakuwa naenda LEO TUPO HAPA PUB!!Kama mteja nasiyo tena kama mwana CC kama tulivyokuwa tumezoea!naomba...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
WATU WA MJINI WANASEMA UKIJUA HUU WENYEWE WANAJUU HUKU.SOMA HII Mume flani kamuaga mkewe kuwa anaenda semina Uganda kwa wiki nzima, kumbe kahamia kwa demu flani nyumba ya pili toka kwake...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Omgambile inaf olushanga lwakatika, leka ubutarajuju kolamala osh'weke
0 Reactions
2 Replies
1K Views
An Airline Introduced A Special Package For Business Men. Buy Ur Ticket Get Ur Wife's Ticket Free. After Great Success, The Company Sent Letters To All The Wives Asking How Was The Trip. All Of...
0 Reactions
2 Replies
997 Views
naomba mwenye jibu sahihi anijibu
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Simu yako ni ya Kichina iwapo....... 1. Battery inajaa baada ya dk 3 .... 2. Simu ina Tv, torch. 3. Unaweza kuandika Msg kwa tooth pick 4.Kuna matatizo ya kimaandishi yanayoitambulisha kwa mfano...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanaume Siku hizi mnapenda kulelewa,utakuta umetoka out na mpenzi wako hulipi bili,bili ikija unajifanya uko bize na simu Tumewachoka,simu mnabip mpigiwe,hotel hamlipi visingizio tele mara...
1 Reactions
75 Replies
4K Views
hodi hodi wenye chit chat,nipo ndani ya nyumba
0 Reactions
14 Replies
1K Views
There are three bulbs in a room and three switches outside. U are asked to match the switches with the bulb they control. Note that u can only enter the room once. How will u match them?
5 Reactions
42 Replies
3K Views
pole kijana!..na mchichimuko huo!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
:fish2::fish2::fish2: Ndugu yako akiomba samaki mpe ndoana
0 Reactions
0 Replies
613 Views
Fikiria mtu anaenda Phamacy anahitaji condom lakini chaajabu huyu mtu utashanga anashindwa kutamka naku sema naomba ile.
0 Reactions
72 Replies
4K Views
Weekend umekaaje wanaCC ... mamboz.... Yaani tangu nimetoka kwa my hezbend C6 naenjoy maisha ya nyumbani.... Kula kulala rahajeeeeeee.... Kha kumbe nilikuwa nabanwa lol!!!!! Sitamani tena...
6 Reactions
156 Replies
8K Views
Back
Top Bottom