Huyu jamaa ni mchafu sana! KWA NINI HUTUMII TISSUE KUPENGA MAKAMASI, UNAFUTA MAKAMASI YAKO KWA VIDOLE HALAFU UNASHIKA PENI KISHA HIYO PENI UNAMPA MTU MWINGINE ANAITUMIA NA UNAJUWA MARA NYINGI...
Huyu hayawani, Jahil Munakirr, tangu abahatishe namba yangu ishakuwa kero, kila siku kunipigia eti amependa sauti yangu, sasa si airekodi apigie puchu kuliko kunisumbua kila siku usiku nikiwa...
Juzi kwa mara nyingine uliahidi kutoa tamko zito kuhusu ndoa yako,mbona kimya?
Nakuaminia mkuu......mwaga razi,rusha nyuki,piga nondo mwanawane,usiogope cha kiplagati26 wala cha Ben Saanane wote...
Mtaka cha uvunguni ni sharti ainame,mwenda kwao siku zote haogopi giza.
Mtu anatapika nyongo yake halafu anailamba tena anaangaliwa na mzee magumashi.
Mapenzi ni kama kitabu,mpaka usome...
Ndio nimetua Mwanza hivi punde....
Nimepokelewa na charminglady na @C6, watu wa Mwanza ni wakarimu sana, nipo hapa Hoteli ya JB Belmont nimejipumzisha kabla ya kuianza siku na vikao lukuki, jioni...
1. Your Pupils can expand as much as 45 percent when looking at someone you love
2. Violence has actually been steadily declining over the course of human history. We are currently in the midst...
Habari wana Jf cc! Am a new member humu jamani ila ningependa kufahamu kama kuna wanaJf wanaoishi maeneo ya Same kilimanjaro au Arusha hasa maeneo ya Njiro nanenane maeneo ya kambini.
Jamaa kamdanganya mkewe kwamba anasafiri toka dar kwenda mbeya kwa ajili ya semina ya wiki moja.Kumbe jamaa hakwenda mbali saana bali ni mtaa wa pili tu kafungiwa na kimada chake.Siku moja asubuhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.