07 February ni siku adhimu na nyeti, kwa Bibie huyu Mlimbwende, Mpole , Mkarimu , aliejaa upendo na kila member.
Aidha mithili yake kwa century hii wapo too scarcity! Lau kama wapo wa...
mchungaji mmoja katika
mahubiri yake huwa
anachangamsha sana
waumini
wake,kwa mfano utakuta
katikati ya
mahubiri utasikia
"..Muambie jirani
yako..Yesu anakupenda!"
basi kwa
furaha na...
Maisha ya ndoa iliyo jawa na amani ni matamu na yenye furaha sana katika siku zote za maisha ya binadamu hapa duniani. Mfano wa familia kama iliyopo kwenye picha hapo chini, nani asie penda...
Kipima joto ITV kinauliza: "Kukithiri kwa tatizo la Rushwa, Je kuanzishwa kwa Mahakama ya "TAKUKURU" kutasaidia?!"
Hivi Waandaaji wa hivi vipima joto ITV wanafikiri za kisomi? Wameshindwa kujua...
Nisaidie kujibu hy maswali: 1.Km elimu ni ufunguo wa maisha kitasa chake ni kipi? 2.km majuto ni mjukuu baba yake ni nani? 3.Aliye juu mngoje chini atakae...
Hii ni kauli iliyotolewa na mwizi baada ya kuiba wallet ya polisi na kukuta yafuatayo:-
1.Majina ya vibaka
2.majina ya mafail aliyonayo. 3.majina ya watoto waliobakwa 4.majina ya watu/mama...
Habari njema kutoka Airtel,kuanzia tarehe 10 Feb kifurushi cha 400MB kitakuwa 500MB kwa sh 3500 tu kitakachotumia kwa siku 10.Furahia kuperuzi na Airtel.
Mind you huduma hii ilikuwa inatolewa...
Wana JF,
Kwa niaba ya Bishanga, The secretary , Mr Rocky na bibie Amyner napenda kuwakaribisha kwenye hii Pub & Restaurant yetu mpya ambayo inawapa fursa kuja kupata vinywaji mbali mbali ukiwa na...
No English dictionary has been able to explain the difference between this two words: COMPLETE and FINISHED. Some people say there's no difference between two words but there is! When you marry...
....mAmbo yakiwa mengi hata humu hatuonekani...lakini nawakumbuka sana..hasa my arabela....i miss yu sana...
wengine woteeeeeeeee....
...Usiku mwemaaaaaaaaaaa.....
Paloma chop my money
cacico chop my money
Madame B chop my money
amu chop my money
nivea chop my money
Arabela chop my money
........because i don't care....i don't care.
Copy...
Mlevi mmoja aliingia pharmacy na kusema "tafadhali nipatie condom" Mhudumu akabwatuka na kusema "Kaka mbona huna heshima? si uagize kwa lugha nzuri?" Jamaa akaona isiwe taabu, akafungua zip na...
Kisa kimetokea kwetu huku pande za uswazi. Mzee kitemba amtunza binti yake mwanaheri ili aolewe akiwa bikira. Yaani mzee mnoko kinoma.Sasa juzi kati mzee kama kawaida jioni akaenda masjidi. Kijana...
Tabia za watu kugombania siti kwenye daladala, leo ime mtokea mtu puani, baada ya mtu kushuka katika gari, ndipo kijana mmoja akanisukuma pembeni aiwai ile siti, kitendo cha yeye tu kutaka kukaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.