JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
1. 'Mtakula nyasi ndege ya rais inunuliwe' - Mramba. 2. 'Foleni Dar ni ishara ya maisha bora' - JK. 3. 'Acheni wivu wa kike' Mkapa. 4. 'Asiyeweza kulipa nauli kwenye kivuko apige mbizi' Magufuli...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Panga Pangua, Piga ua, Fanya juu chini, Chini juu, Hata kwa ndumba, GUNIA LA MKAA HALIWEZI KUUZWA SUPERMARKET!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni utamaduni wetu kupiga hodi pia kuaga wakati wa kuondoka...Dah, natamani sana kuendelea kuwepo CC na JF kwa ujumla. Lakini majukumu yameniandama, lazima nisepe kwa muda... Nitawamiss sana ndugu...
10 Reactions
171 Replies
8K Views
Jamaa alitaka kuonesha anajua kidhungu "yestaday I saw u at ze maize shop..(Jana nilikuona dukani kwa muhindi) when u saw me u started 2 six six (uliponiona ulianza kusitasita) u ran away n decide...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
kinyozi alihamisha ofisi kutoka ghorofani na kuja chini akaweka tangazo; kinyozi aliekua ananyoa juu sasa ananyoa chini, mara wateja wakamkimbia, sasa kosa lake nini?
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Zimetengenezwa na material dizain ya msasa..
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mc: sasa nawapa sifa kubwa ya bi harusi.. Tangu namfahamu yeye huwa havai nguo za ndani.. . . . . Watu wote ukumbini wakaduwaa, macho yakamtoka bwana harusi, bi harus akaanza kutetemeka.. Mc...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
KInyozi mmoja alikuwa na salun katika ghorofa ya juu, aliamua kuhamia chini akaweka tangazo hili "KINYOZI ALIYEKUWA ANANYOA JUU SASA ANANYOA CHINI". Wateja wote wakamkimbia.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kkk
Baby is sound asleep while music is blasting, Until Her Favorite Song came on (FUNNIEST VIDEO) « In The Loop
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Kula 2. Kunywa 3. Kunya 4. Kulala 5. Kusoma 6. Kucheza 7. Kusali 8. Ku . . . . . . . . GO ON
0 Reactions
1 Replies
924 Views
Je tuweke picha za mambo yalivyokuwa?maoni tafadhali
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Wachaga Habari zenu Banaaaaaaaa! Source: Cheka Upate Afya - facebook!
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Nimeamua niwawekee picha maana nitapotea kwa muda kidogo...... Amri kuu Pendaneni kama mungu anavyowapenda weekend njema..... XXXXXXXXXXXXXX
4 Reactions
16 Replies
2K Views
to Preta
5 Reactions
34 Replies
2K Views
kuna masai mmoja alikuwa nje ya mlango wa kanisa amekaa wakati ibada inaendelea mara mchungaji akapita mlangoni akamuona akamuuliza YERO mbona uko nje MASAI; unasani mi ni mjinga nimesikia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
1.Unamnunulia mke wako SIMU mwanaume mwenzako anamnunulia VOCHA, Huo ni mgawanyo wa majukumu 2.Unamlipia mke wako ADA ya Chuo, mwanaume mwenzako anamlipia kodi HOSTEL, Huo ni mwingiliano wa...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Yaani tabia zao kama watu, hasa kipindi hiki cha mvua na ubaridi utakuta wanarandaranda mitaani wakifukuzana mitaani na kufanya vitendo vya kuongeza uzao wao. Utakuta wanatoka kwa wanaowafuga...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Kwa wale mnaowaita wenzenu jembe nawashauri muache maana huu msemo kwangu nauchukulia kama tusi Hebu jaribuni kufikiria jembe liko je au lina sifa gani. Msikubali jamani kuitwa jembe mtu...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
sina haja ya kuleta mada hii kiuchonganishi... laa ila ninataka kujuzwa jambo...nina jamaa yangu mpemba hapa amenipa mpya kwa kusema ukitaka kumugundua mzenji basi muangalie kisogoni. Anasema...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Natafuta wadada wanaopemda mpira wa kwenda nao kuona hii mechi ,nitawalipia kiingilio na nauli wahi hapa ddc kariakoo nawasubiri
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom