JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kabla ya ndoa mambo huwa hivi;- MME;-Nilitamani sana muda huo ufike. MKE;-Vip wataka niondoke? MME;-Hapana hata kidogo. MKE;-Unanipenda? MME;-Ndiyo maana yake. MKE;-Utaniletea demu mwingine...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Mimi ndio baba lao.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
matokeo yametoka leo,hongera shule za kata kwa kufanya vizuri,hizo ni juhudi za serikali
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Ama kweli leo ndo naamini sasa kumbe (KUWA UYAONE SI MAGOROFA. MAGARI ) daaaaaaa kazi kweli kweli
0 Reactions
12 Replies
1K Views
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Padre Aliwauliza Waumini:- Ni Kiungo Gani Cha Mwili Kilichojificha Na Kina Wingi Wa Unyevu Unyevu, Kinaweza Kufanya Ndoa Idumu Au Kuvunjika? Waumini Wakapiga Kimya Huku Wakiinamisha Vichwa Vyao...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ujumbe unaoweza kukuharibia mood katika siku yako: 1. Nakuja kuchukua hela yangu mida hii 2. Samahani tumepata ajali na gari lako 3. Nina mimba yako 4. Nimepata majibu sio mazuri 5. Nimemuona...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wanandoa wameoana,,siku ya pili tu wamepelekana kwa padri... padri akawauliza nini tena? MKE AKASEMA: nilifikiri iko hivi ==========> ama hivi ======> kumbe hivi ==> Bora talaka... MUME...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Tofauti ya maisha; Eti ni dhahiri kuwa kuna tofauti kubwa ya maisha kulingana na maeneo, eti na watu wanaoishi huwa na tabia kulingana na maeneo yao: mfano Mke anayeishi Masaki akimwagiza mumewe...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Whats up ma pipo
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Mwaka 2013 NOKIA wameboresha kwa kuweka lugha ya KIJITA kwenye simu na mambo yatakuwa hivi: phonebook-ECHITABHO. Names-AMASINA. Time-OMWANYA. Ringtone-LILILILO. Settings-OMWINYANJO...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Teh teh teh teh
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau, Kwa wale ambao hawawajui Shark na Madame B, basi leo nimeamua kuwaletea picha zao muwaone.
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Mimi ni member mpya humu ChitChat,lakini katika Wavulana Woote Humu ChitChat nimempenda mmoja tu, nae ni Donn. Donn nahitaji Penzi lako kaka. Donn nahitaji faraja yako kaka. Donn nakupenda...
4 Reactions
175 Replies
9K Views
Jamaa kaingia chooni na kopo lake la maji lakini kama kawaida bila kipande cha sabuni.Choo hiki kina mlango mzuri na maarufu- gunia bovu ambalo mtu hawezi kugonga na hivyo inabidi uwe makini...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mwaka 2013 NOKIA wameboresha kwa kuweka lugha ya Kisambaa kwenye simu na mambo yatakuwa kama ifuatavyo ; phonebook-KIFYOMELO CHA SIMU Names-MAZINA Time-MISHI Ringtone-UFEFEZI Settings-SHIMIKO...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Siku moja namba 0 alikutana na namba 8 namba 0 akamwambia namba 8 huo mkanda uliouvaa mbona umekubana sn haukumizi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msikie mwehu huyu, alienda kwa rafiki yake kupiga story, mara mvua kubwa ikanyesha mshkaji ikabidi amwambie rafiki yake usijali utalala hata hapa sebuleni Lea kuwa mvua kubwa! Jamaa akasema poa...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Jinsi mambo yanavokuwaga mwanzo mpaka mwisho wa mitihani ya chuo kuna kila sababu ya kushukuru kujaaliwa kuianza mpaka kuimaliza salama huku matumaini ya kutonaswa yakiwepo.
0 Reactions
2 Replies
788 Views
Kwa mamlaka niliypojipa mwenyewe (naomba msiniulize lini na wapi) na kwa kulinda heshima ya ndoa zinazofungwa hapa chit chat kila siku, mimi Voice of Wisdom napendekeza marekebisho yafuatayo...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom