JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Dereva mmoja baada ya kuua watu 25 kwa ajali ya gari,alikamatwa na Traffic na mahojiano yakawa kama ifuatavyo: Traffic: Wewe ni dereva gan?umepitia kwel driving school, Dereva:Ndio...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani Nimerudi Mjini with my first Born.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
1. Kupakwa GV kwenye kidonda 2. Kung'olewa mjino kwa uzi 3. Ubwabwa kupikwa Jumapili jioni tu 4. Kidonda kuwekwa unga wa "RANGI MBILI" 5. Kupamba kadi sebuleni 6. Ukumbi wa sherehe kupambwa kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Dada mmoja alikuwa bafuni akioga,mara akasikia hodi ikipigwa mlangoni,akajibu karibu huku akijisetiri kwa taulo na kanga ili akampokee mgeni.Alipofungua mlango,akakutana uso kwa uso na kijana...
5 Reactions
30 Replies
5K Views
Leo hii pale viunga vya Mwanayamala 'A' adjacent na ilipo shule ya msingi Mwanayamala Kisiwani katika kijiwe cha Mjeda maarufu kwa jina la LEO TUPO HAPA PUB wana CHIT CHAT tunakutana pale kuungana...
13 Reactions
97 Replies
7K Views
Jambo jambo nyote...wazo langu ni hili kwa nini vjana wengi wa kitanzania hawataki kuoa? Ikiwa wana kila vigezo vyote...ikiwa ni pamoja na kujitosheleza kimaisha?...eeee najua nimewagusa...
1 Reactions
56 Replies
7K Views
Kama haitoshi ukanyambuliwa na kuwa mb*o, mhogo wa jang'ombe, mfalme kjcho, mara dushelele wewe unaiitaje....../ kikwenu mnaiitaje.......!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapendwa ni aje...!! ujio huwa ni wa mawazo na kuwazua, kupimia upepo na kuchukua hatua stahiki, usiende kichwakichwa yakakufika ya kukufika ati,,, katika kupitiapitia jukwaani hapa nimebaini...
24 Reactions
297 Replies
14K Views
Jamaa anamatatizo kaingia kwa daktari JAMAA=dokta ninatatizo huku chini DOKTA=hebu vua tone JAMAA=navua ila usunicheke ,plz dkt usinicheke DOKTA=usijali mimi hii ndo kazi yangu siwezi kumcheka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wajamen usingizi hauna bausa, tutaendelea na michakato kesho kwa maja'aliwa ya mwenyezi. Kwa wale wenye 9t shift na zile shughuli nyingine za usiku nawatakia kila la kheri kuifanya JF active...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Niliingia mzima mzima , nikajiamini, nikaona unatoka familia bora yenye malezi ya wazazi wanaojitambua , kumbe ckujua ni chui uliyejivika ngozi ya kondoo, nilishauriwa humu nikajifanya kichwa...
5 Reactions
172 Replies
8K Views
Do not count years Do not count books Do not count examinations Do not count Schools COUNT UNDERSTANDING!
1 Reactions
6 Replies
943 Views
Kuna majambazi walifanikiwa kuingia Bank na kuiba Pesa nyiingi,na kufanikiwa kutoroka, wakafika sehemu wakaanza kuzihesabu, hadi wakachoka kuhesabu! Mmoja akawambia"Oyaa mi nimechoka,tusubiri...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
MTU mmoja alifariki na kwenda jehanamu. Kufika huko akakuta kuna jehanamu tofauti tofauti kwa kila nchi. Akaamua kuzunguka zunguka ili aweze kuipata jehanamu yenye maumivu kidogo zaidi...
10 Reactions
32 Replies
5K Views
Hebu tu fikiria kuwa bado hujazaliwa,halafu unayashuhudia yote yanayotokea hapa duniani.Kisha ukaulizwa,uzaliwe au ubaki hukohuko. ' Utakubali uzaliwe?
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Haya ndo yanayojiri. Mbona Mnakosa vingi!!!!! Zion Daughter, Kaizer, mie mwenyewe Madame B, Chachu Ombara, kipaji halisi, Bujibuji, Mtambuzi, Jeska, Ruttashobolwa, amu, Mjeda...
4 Reactions
147 Replies
7K Views
Nikichoka huwa sipendi kabisa kelele ndo maana kuna muda nasikiliza empty cd! Na nikichoka sana nasoma plain papers, pia nalala huku nimesimama kuepuka kelele za godoro pale ninapo jigeuza,na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MUME: Aise tafadhali salimiana na mke wangu Fulo JONI: Dah kumbe huyu ndie mkeo, namfahamu sana MUME: He umemfahamia wapi tena jamani? JONI: Fulo na mimi tulishwahi kulala wote si tukakamatwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Utangulizi. Nitakayoyaandika hapa yanatokana na social involvement yangu kwenye jamii hizi. Isije watu hapa wakaanza kuniuliza hypothesis yangu ilikuwaje? Sampling and the like. Makundi...
8 Reactions
87 Replies
10K Views
fanya uwezavyo bt huwez kuvaa kanzu mlegezo
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom