Mara ya mwisho kumuona ni ktk jukwaa la Ajira!akifurahia na kushanglia kupata kazi Utumishi wa umma!amekauka sana jukwaani!yawezekana ni majukumu ya kitaifa!lakini pitiapitia hata huku!dah kweli...
Watu wakaanza kujitambulisha
(1).Mimi naitwa John niko UDOM mwaka wa pili nasoma LAW.
(2).Naitwa Stella,niko UDSM mwaka wa 3 public relation.
(3).Naitwa Adella,niko Tanesco mwaka wa 4 nasoma mita.
Ukishindwa hili,basi kichwa kinakulemea bure ila hamna chochote cha maana kichwani!
Ni katika muktadha(situation) au mazingira ambapo 2x3 si sawa na 3x2
Leo nimestaajabu sana ikabidi nicheke mwenyewe ,kuna rafiki yangu humu JF anafahamika kama Shardcole .Huyu bwana ameshawahi kugonga like 1 tu kati ya like zaidi ya 800 alizozipata kutoka kwa wana...
Wasalam,
Ni mara nyingine tena kama ilivyokuwa inasubiliwa sasa ndio imetimia.
Kwanza niwaombe radhi kwa kutokufanya mashindano ya mwezi Dec 2012, hii ilitokana na sababu ambazo zilikuwa nje ya...
...Katiba mpya iruhusu Mods nao wapigwe Ban na hata life Ban pale inapobidi.
...Katiba mpya ikataze Ku-bip na iweke wazi adhabu zitakazomkabili Mbipuji yeyote Yule.
...Katiba mpya ipige...
Juzi juzi niliona kwenye habari ya kijiji kinachoitwa Ki-nyeto katika mkoa wa Singida halafu nikakumbuka kuwa kuna thread fulani humu inayozungumzia shule ya msingi Senge ya huko huko Singida...
Hi JF, kuna mzigo mdogo nataka kutuma sumbawanga kwa kutumia bus la sumry nipeni mwongozo jinsi ya kufanya na je wanaaminika wale watu wa ofisini mwao ubungo?
Wana ChitChat,
Matokeo ya awali ya Wachaga walioenda kwao kuhesabiwa yameanza kutolewa. Habari za ambazo zimetua kwenye dawati langu hivi punde na kudhibitishwa zinasema kuwa hadi hivi sasa...
Ama kweli UALIMU KAZI YA Wito MWANAFUNZI mmoja hajui kujumulisha wala kutoa mwalimu katumia njia zote kumuelimisha lakini wapi ikabidi ajaribu njia hii
MWALIMU; kwenu mnafuga nini?
MWANAFUNZI...
Masai kaenda kanisani kaishia nje, PASTOR akauliza ''Yero mbona huingii unakaa NJE?''
MASAI akajibu ''Unasani mi MUJINGA? si nasikia SIMBA wa YUDA iko ndani inanguruma!!!!
Kukosa usingizi ni ktu kibaya sana jamani. najaribu kufumba macho lakini wapi dah..................
utashangaa kukikaribia kucha ndo utakuja, nipeni pole mie maana kesho kazi kama kawa alafu niko...
Mwalimu alimuuliza John darasani,
"Ukiwa mkubwa, utataka nini?"
John akajibu;
"Nataka niwe na pesa, nioe mke
mrembo; tuwe tunaogelea pamoja,
niwe nikifanya mapenzi nae mara tatu
kwa siku...
ndio tumekutana na tukapendana,nikiwa na hizi raster zangu..iweje leo uniambie ninyoe nimefuga miaka 8 nimezigaramia kama mtoto,umenikuta na washikaji zangu iweje leo uniambie niwatenge unajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.