Mi nilivyozoe Jf kiujumla hua hapapiti mabreking newz nchini hapa yakapita juukwaju.
Sasa tukio liliotokea hivi majuzi baada ya bwn mmoja kumlamba mke wa mtu.
Mwanaume huyo baada ya tendo kiume...
Nyoka mwenye vichwa viwili keshapondwa kichwa kichwa kimoja, ingawa amebakiwa na kichwa kimoja hakitusumbui tena kwan tushamjua. Nitawaombea msamaha waliofungwa warudi!
Nawaita Judgement...
Yaani hili jukwaa sijui nilifananishe na nini!!!
Huwa kila nikipitia michango ya members wa huku nacheka sana,alafu najiuliza maswali mia kidogo!
Hivi watu kama Madame B Asprin cacico manoah,@C6...
Hellow wachu!
Jamani wana JF walioko Kigoma, let's have some fun this Feb.
Wazo langu ambalo naomba mliboreshe;
On 16th Feb at 8.00am we get into the boat to Gombe, watakao hike na kuangalia...
Si kama ujio gesi pande za mtwara, nakuja kama sijui nani vile nakuja kama nani kirusi, Baada ya kukaa selo kwa muda usiovumilika hatimaye I'm out. Sijui nianzie wapi ila:
i. Kesho jumatano...
WARAKA WA KWANZA WA C.T.U KWA WANA CHIT CHAT WOTE
Wakuu habari zenu poleni kwa majukumu ya siku nzima
Leo sina nia ya kuigawanya chit chat wala sina nia ya kuipa msuko suko la hasha ...
Ina maana wanakuwa hawana birthday this year au uibadilisha kuwa tare 28.
Maana my la aziz wangu kazaliwa tar 29/02 alafu kanikumbusha bithday yake imekaribia. Sijamwelewa yaani.
Party ikiwa inaendelea, vinywaji na maongezi yakikolea huku yakisindikizwa na muziki mwanana, ndipo hapo nikapata fursa bin wasaa wa kumsogelea bibie mmoja.
Maongezi ya hapa na pale yakatufanya...
UNAWEZA KUDHANI NI MWANAUME SIO??
Anaitwa Renee Toney mwanamke body builder(mjenga misuli)na mnyanyua vitu vizito.Renee au Rene wanavyomfupisha asili yake ni Brazil lakini ni raia wa...
It hurts me to say this, but am thankful to Zinduna's Talk Show because imeniwezesha ku find out what kind of a TERRIBLE MAN you are Erick!
Bishanga alinipa warning mara nyingi nikapuuzia. And...
Muarabu mmoja alikuwa napita sehemu fulani saa mbili usiku, akawaona watoto wanapenyeza vidole vyao baina ya shata na frame ya mlango wa nyumba yao,yule mwarabu akawakataza wale watoto kwa...
watanzania wavivu jmn!... hebu skia hii wezi 2 walivamia bank na kufanikiwa kuiba mabunda ya hela kufika nyumbani mmoja akamwambia mwenzake "hebu zihesabu tujue ni sh ngapi" mwenzie...
Hatua za mwanzo na mchakato ndio unaanza, baraka zenu zenu na maombi yenu katika kurifanikisha hili.
gfsonwin my mama mpenzi.
Baba V mwenyekiti
Donn wa ukweli kaka
Ronn M my bother
Chimbuvu...
Mtoto alimuuliza baba yake eti baba ukikuta noti ya sh.10,000 na sh. 5,000 utaokota ipi? Baba akajibu we ----- nini? Naokota ya sh. 10,000. Mtoto: We ndo -----! mimi naokota zote!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.