JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mabibi na Mabwana habarini za asubuhi.... Kutokana na kimya kingi kutawala katika NDOA yangu na C6 sasa natangaza rasmi kukiaga Chama cha TAMU (Tanzania Married Union) Taratibu zote zimekwisha...
8 Reactions
152 Replies
6K Views
Ashakum si matusi ndugu zangu. Nadhani wengi tunauzoefu na vyumba vingi vya vyoo dimension zake, Sasa assume chumba cha choo kingekuwa na ukubwa wa rumu yako unayolala, ungekuwa huru kujisaidia.??
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wengi waliniuliza Id yagu nikawazuga kuwa niko kama guest, Niliwaona 4 first time: @Madame B, lara 1 Kakakiiza na wana Jf wengine(Wana sura za kijanja sana), Nilitaka kumuona snowhite(eti yuko...
2 Reactions
96 Replies
5K Views
Hellow..... Wapendwa wa JF Dar Wing napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa JF Dar Wing kwa ushirikiano mlionao. Hakika ni mfano wa kuigwa na mkiendelea hivyo mtawafunika JF Arusha wing...
5 Reactions
87 Replies
5K Views
Wana chi-chat wanamipango ya kununua Tour bus ili iwe na uraisi wakufanya tour katika wing za Arusha,Tanga,hivyo Mwanza,Mbeya mnaomba mjioganaizi ili tujue kama kuna makundi huko!! CHIT-CHAT FOREVER!!
2 Reactions
74 Replies
4K Views
watu8, Slave, Donn, Arushaone, Mzee wa Rula, Jiwe Linaloishi, KakaKiiza, Thanda, na wengieno. tembeeni kwa step. :poa: mia
6 Reactions
26 Replies
2K Views
Haya wanajamvi hii nayo imekaaje, ni kweli mjini shepu na sura tabia kijijini?
0 Reactions
80 Replies
6K Views
[intro] Ni miezi kadhaa imepita niliposema �I do� kwa mke wangu. Hata mwaka haujaisha nshasema Goodbye. (Unh) chumba changu cha kulala kimepwayaaa Ulikijaza kwa tabasamu, kwa...
2 Reactions
41 Replies
3K Views
Msikie mwehu huyu alienda kwa rafiki yake kupiga story, mara mvua kubwa ikanyesha mshkaji akabidi amwambie rafiki yake usijali utalala hata hapa sebuleni kwa kuwa mvua kubwa! jamaa akasema poa...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari waheshimiwa mliotukuka saana,mnao akikisha JF inasonga , Baada ya kuhakikisha nimevuna maharage yooote,choroko,mboma na alizeti kw mama kijijin sasa nimerudi tena baada ya kutokuwepo kw...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habarini za Muda huu Member Wenzangu. Ikiwa yamebaki Masaa tu kuelekea Saa 11 jioni kwa Ajili ya ile Party Yetu, Hapa Napenda Nitoe Ratiba kamili ya Yatakayojili Pale Kebby's Hotel...
6 Reactions
159 Replies
8K Views
Mdudu wa ban kaingia chichat,si bure,kuna mahali tumeanza kuharibu.Kikubwa ninachokiona mimi ni kuwa utani,masikhara na dhihaka kuna wakati vinavuka mpaka na kuwa udhalilishaji. Tunapokosea na...
12 Reactions
47 Replies
3K Views
Pepo la Ban limemuandama muombeeni Baba V
1 Reactions
53 Replies
3K Views
Naitafuta Msata kwa njia ya Bagamoyo,nakuja Tanga.. Jioni njema kwa wana CC wa wing zote...
5 Reactions
115 Replies
6K Views
Nimeisikia toka redio fulani hivi. Msanii kaulizwa swali, 'vipi mipango yako ya shule...' jibu: michakato ipo kwenye process... Mh! Yako ya kufungia siku ipi?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kuna vitu vitatu vinavyokatika bila maumivu mwilini 1.nywele 2.kucha 3.______________
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Utaratibu uko vp?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kamwene.... Naanza kwa kudiclare interest kuwa wahehe ni watani zangu, hivyo hamna uwezo wa kunifanya lolote. Swali langu ni kuwa, kwanini maeneo yenu mengi mkoani kwenu (Iringa), majina mengi...
1 Reactions
31 Replies
6K Views
Mtoto katoka shuleni huku analia, alipofika nyumbani. Baba yake akamuuliza ''unalia nini'? MTOTO '' Nimepigwa na mwalimu na nimeambiwa twende wote shuleni''. Wakaenda shuleni na wakaingia ofisini...
5 Reactions
18 Replies
4K Views
Mume: Hello baby! Mke: Hello swt! Mume: Nitachelewa kurud leo Mke: Nishajua uko kwa vijanamke vyako, ww ni mzinzi sana cjui ilikuaje ukanioa nakuchukia kama nn? ckupend! ckupend! Mume: Niko...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom