JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wale wa mjini, ni sehemu gani Dar kuna majengo ya kifahari, na hiyo sehemu jina lake ni chombo cha kupikia jikoni,na hilo jina ni jina la msanii maarufu wa bongo movie? Naombeni majibu
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Wanajf hivi kuna mtu ambaye kunaswala hatokaa halisahau katika maisha yake tuyaweke hapa jamvini!!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mara nyingi nimekuwa nikipita hapa ila huwa sielewi mnachokifanya humu! Sasa ili kuwaelewa inahitaji kujitoa akili kwanza ama? Im just asking!!!!
1 Reactions
39 Replies
2K Views
Habarini za Muda Huu Members wote wa JF, Kama tulivyojadiliana jana kuhusu kufanyika kwa ile White Party ya Dar-Wing, Siku ya Jumamosi ya Tar:26 January Kuanzia Saa 11 jioni hadi majogoo, Hivyo...
21 Reactions
610 Replies
30K Views
Unapoonge kwa simu na mtu halafu unarusha rusha mikono, una mwelekeza kwa ishara na mikono utadhani yupo karibu anakuona! Mambo ya simu za mkononi bhana. Upo mbele za watu unaongea kwa sauti...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wanajamvi wote wa humu ndani ya chitchat Katika majira na nyakati tusizodhani, na yale majira ya kiangazi ubaridi na upepo ulivyovuma kaskazi na kusini. Familia ya Bakulutu kutokewa na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Some people say "Behind every successful man there is a women" but nobody knows the fact that "women choose only successful men"
0 Reactions
4 Replies
823 Views
Heheheh!!! ngoja nianze kwa cheko kwanza maana hii nyeti nimetoka kuisikia hapa kwenye korido za Wizara ya Maliasili na Utalii... Eti lile jilima refu kuliko urefu wenyewe linalopatikana kwa WASEE...
3 Reactions
45 Replies
4K Views
Naku.............................. Manoah. lakini naogopa kukwambia coz cjui utachukuliaje then namuogopa mama yako ticha mkali pili kakulea kwa maadili yote cjui kama ntaweza fanikiwa, Any Agent...
2 Reactions
209 Replies
10K Views
Mi basi bana The secretary katafute bwana mwingine akuoe.Wivu gani huo mpaka unatoa povu utadhania umemeza omo.Mchango nilitoa,shati jeupe la linen mariedo nikanunua.Wakati najiandaa kutoka...
6 Reactions
130 Replies
7K Views
Hello wana Chit Chat! Nimevutiwa na jukwaa hili na natamani sana kulijua vilivyo jukwaa hili. Naomba ukaribisho,utambulisho na maelekezo.
0 Reactions
43 Replies
3K Views
Huyu JF member, amekuwa kimya sana, nimemiss sana zile tungo tata zake. Miongoni mwa tungo tata hizo ni pamoja na:-...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
... NIPO na my wife arabela hapa... ..... . . . .................... . . . . .............. . . . . .............................. usipoitika utakuwa magendo WITO MWISHA SAA 12...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
SIJUI KAMA SIKU HIZI IPO HII! 1. Kupakwa GV kwenye kidonda 2. Kung'olewa jino kwa uzi 3. Ubwabwa kupikwa j2 tu 4. Kidonda kuwekwa unga wa 'rangi mbili' 5. Kupamba kadi sebuleni 6. Ukumbi wa...
2 Reactions
53 Replies
7K Views
Mahusiano mara nyingi hupitia katika majaribu na magumu, na njia nzuri ya kusinda vikwazo ni kusahau tofauti zenu zote na kwa mwenza wako yakupasa kumkumbatia na kupeana moyo.Natumia fursa hii...
1 Reactions
48 Replies
2K Views
Ebwana ee... Salamu kwa Mods... Poleni kwa kazi nzito... Salamu kwa members... Poleni kwa shughuli za kila siku... Yaliyonikuta Chit Chat tangu Desember mwaka jana mpaka leo hii. Fata stori...
4 Reactions
61 Replies
4K Views
Wakuu naona mida ya maakuli ndo hiyo. Waswahili husema ukimchunguza sasa kuku anavyotaga hilo yai utashindwa kulila; au kwa kifupi siri ya mtungi aijuaye kata. Kila mmoja anajua anakopata msosi...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
..........Mwendesha bodaboda jana alitoka nduki bafuni alipokuwa anaoga.. huku akipiga kelele ...bafuni kuna mashetani..... kwa sababu kila akijimwagia maji kichwani hayafiki kwenye nywele ...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamaa fulani alirudi nyumbani kwa huzuni mazungumzo yao yalikuwa hivi: MKE:Mbona leo una huzuni mume wangu? MUME:Ofisi yetu imeungua ni mimi,sekretari,mhasibu,bosi na mkurugenzi mkuu ndo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwanaume akiwa mmbea hapendezi hata kiduchu..!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom