JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
1. Usingizi 2. Ndoto 3. Mateso 4. Ridhiki 5. Afya 6. Uhuru • Ushawai kuota ndoto yenye mateso,haya unatambua kuwa usingizi ni nusu kifo? na ushawai kuota umeumwa na unapelekwa hospitalin ila...
0 Reactions
4 Replies
723 Views
Ni asubuhu hii wapendwa wageni wameondoka kurudi kwao.... Ilikuwa raha sana kuwaona wana JF hawa wakiongozwa na PakaJimmy. It was so great moment meeting you friends, Preta, watu8, Madame B...
11 Reactions
327 Replies
17K Views
Tuweke "uchit chat" pembeni, huyu mdau yuko salama kweli, nimemsaka muda mrefu sijafanikiwa, Filipo anaelewa namaanisha nini, pakajimmy mzee wa kumbatio, Dark City, @blakiwomani, Watu8, KOKUTONA...
0 Reactions
7 Replies
865 Views
hivi kama mzazi yaani baba, mama au kaka, ndugu kwa kuona tukio la huyu mtoto utajisiaje? Any way naona binti ana kachura fulani. Ova Mshana Jr cocastic King Kong III Nakadori anasbo
8 Reactions
72 Replies
3K Views
Juzi nimeenda kuzika rafiki yangu huko kijijini kwao, sasa utaratibu ni kua baada ya kuzika mkiwa hukohuko makaburini mzee wa kimila hua anasimama na kumtangaza atakayefuatia kufa. Mzee huyo...
8 Reactions
16 Replies
557 Views
Na nasikia anatamani mno na sana Kumjua GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" ili amuulize anataka ampe Cheo gani ili amsaidie na alisaidie Taifa lake...
6 Reactions
25 Replies
1K Views
Leo ni leo. Leo nimeamua kuweka ukweli wote wazi mbele yenu.. Kwanza uzi za maana watu mnakuwa wagumu kujibu ila nyuzi za hela na mafanikio ya haraka mnakuwa wa kwanza. Haya siri ni kama...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Hivi inakuwaje wadau demu unamtumia nauli baada ya kupokea hela anapiga kimya haji wakati mshakubaliana aje kwako ? .Naomba michango
2 Reactions
167 Replies
14K Views
Mwanamama FaizaFoxy , NGULI na mtabobezi wa maswala ya mawasiliano ni tishio hapa jamvini ndio maana anaogopwa na kushambuliwa kila anapoandika. Hamna wa kumshindia kwa hoja, iwe Ni kwenye siasa...
8 Reactions
33 Replies
2K Views
Unaambiwa bob killer ambaye ni muuaji mkuu katika kundi la seven brothers waliotekeleza mauaji ya bob junior amemchumbia mtoto wa bob junior. Na unaambiwa kwakua binti huyo wa bob junior...
0 Reactions
2 Replies
710 Views
Kimsingi mimi huwa sina wazo la kumtapeli mwanamke yoyote isipokuwa huwa naona uzito wa kutoa ile hela ambayo kabla ya mgegedo haukuanza, yani pisi nazolenga kwanza huwa nikali hatri yani pisi...
18 Reactions
81 Replies
4K Views
Oh my God, mbwa anaingia na kutoka nyumba tunayoishi, room mate kamleta mbwa mdogo wa kucheza nae, shughuli si ndogo hii!! kuna muda tulienda kikazi mkoa x kwa miezi mitatu, niliishi na jamaa...
18 Reactions
48 Replies
4K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu. Leo ni birthday yangu. Nawamiss sana watoto wenzangu tuliozaliwa wote pale Hospitali ya Ocean Road, Dar es Salaam. Nakumbuka tulilia sana siku ile, ilikua ni...
8 Reactions
33 Replies
890 Views
Kwa wale wote ambao hawana ujanja kwa ma ex wao wakitaka rematch,au kukumbushia enzi lazima unase tu kwa njia wanazotumia kwa sababu anakujua vizuri weakness na strength zako, tukutane hapa...
0 Reactions
50 Replies
4K Views
Waajumbe tunoamba tufahamishane sehemu zipi nzuri kupata iftar wengine wanasema kariakoo wajumbe wote tutaje sehemu nzur kupata iftar
0 Reactions
1 Replies
341 Views
Aisee hapa jamaa wamenikamata wamenituliza,ishu inakujaga nikishakunywa Kilimanjaro mbili tu naanza kwenda na beat ya mziki,mara na simama[emoji4]je we unachezaga unapokuwa baa ukishastua?
6 Reactions
45 Replies
2K Views
Niongeze nini tena.. Nimeshakaanga mahindi na maji..viko vinatokota
4 Reactions
22 Replies
895 Views
Miaka ya 2005 kuja 2010 enzi hizo Jamiiforum siyo maarufu, kulikuwana na blogspots nyingi sana zilizokua hot. Mimi nazikumbuka hizi. 1. Mbeya yetu blog, Morogoro yetu, Iringa yetu, habari za...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…