JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Karibu sana Mama na Asante kwa Kunifolo GENTAMYCINE hapa JamiiForums, ila nikuahidi tu kuwa japo Unanifolo, Unanipenda na Kunifuatilia sana, ila sitoacha Kukukosoa ukiharibu na Kutofurahia...
3 Reactions
7 Replies
610 Views
Hellow guys Tufanye safari ya utalii kisiwa cha tumbatu ambapo huko u amshubudia jini kabisa na una mweleza shida zako na anatatu moja kwa moja yaani unaongea na jini uso kwa uso tufanye utalii...
3 Reactions
24 Replies
1K Views
Nipo peke yangu Leo,jana nilikuwa na mamsapu na nilikula tunda vizuri,Cha ajabu Kuna kazi nilikuwa nafanya, ghafla uume umesimama ndindi,naona kama napata kero flavi hivi ukizingatia kuwa ntarudi...
0 Reactions
27 Replies
854 Views
Amin kuwa pesa haiwez nunua kila kitu au kufanya kila kitu vuta picha siku upo home umelala bank una kama m 10 💰hivi ila 📱imezima afu umezidiwaaa unaumwa atari ata kunyanyua mguu unashiwa ndan...
1 Reactions
18 Replies
817 Views
Habar wadau, Kama heading ilivyo, nipo Mwanza kikazi kwa siku 3. So naomba wazoefu wanisaidie kiwanja kizuri naweza enda kula bata na kuona watoto wazuri. Asanteni sana.
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Kumbe mtu mzima hovyo ni mtu mzima ambaye hana.............
2 Reactions
1 Replies
335 Views
Habari wana MMU, leo siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwangu, ningependa kumshukuru Mwenyezi Mungu na wazazi wangu kwa siku hii muhimu sana. Ahsante kwa afya njema, pia muwe na siku njema wana MMU...
1 Reactions
2 Replies
266 Views
Acheni kabisa.. Mwanamke apendeze ndiyo utaona urembo ni mzuri kias gani..siku ya Wanawake nimepata pisi za maana tatu. Kwa kuwa ilikuwa siku yao ya kujiachia nilitumia fursa hiyo. Mnamo saa...
2 Reactions
5 Replies
479 Views
Sina hakika lakini nadhani udaktari wao ni wa heshima kama wale wabunge wetu kule mjengoni.. Hii inaleta uwiano mzuri sasa kwakuwa si lazima uwe mbunge ndio utunukiwe udaktari huo wa heshima...
31 Reactions
104 Replies
3K Views
Kutokana na cdm kuomba kumlamba miguu JK ili abadilishe mtazamo wa kusaini muswada wa katiba, hii yaonyesha km cdm wamealikwa kunywa chai na kupiga picha na mkuu huyo wan chi halafu kuondoka...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
mwenye kujua naomba anifahamishe maana waziri wasira alisema viongoz wa upinzan wanataka kumuona rais jk ili wanywe tena na akasema safari hii hakuna kunywa kitu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiukweli shunie nakupenda sana kama samaki Na maji kila nionapo avatar yako naugulia moyo mithili ya sindano ya krolokwin,nipo tayari kujitambulisha kwenu Na kuleta posa ya hamsini elfu au laki...
13 Reactions
223 Replies
14K Views
Habarini. Leo 8 March Siku ya Wanawake Duniani jamani wanawake wa Dar es Salaam mmetisha sana. Nyie Watu wapendeza jamani, kila aina ya kitenge kilikuwa hapa leo, Wakinga wa Kariakoo hakika...
8 Reactions
52 Replies
2K Views
1. Uvivu kitandani (kubaiolojika). 2. Uchafu hasa ule wa kutupa hovyo na kiholela taulo zenu za kike mitaani na uvivu wa kunyoa mapori yenu ya Kibaiolojia. 3. Kuibiana waume/mabwana kimakusudi...
10 Reactions
24 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nilikuwa nacheki hapa historia ya Tom Cruise na Ex wake, yaani mpaka now 2023 Tom Cruise anauwezo wa kumuita Ex wake huyo ni mama yake na watu wakaamini kabisa...
9 Reactions
37 Replies
1K Views
Ukiona tajiri anatoa siri za mafanikio, basi jua ni FAKE. Na ukiona mtu anakupa siri za kutoboa, basi jua na yeye hajatoboa, na ni mtafutaji kama wewe. Mwenye akili na aelewe! Usiku mwema.!!
0 Reactions
2 Replies
234 Views
Morng guys Hua sijawai kuwaelewa wanawake ambao wanaenda pub kama vile juliana ana agiza serengeti lite moja kuanzia saa nne mpaka saa tano huwa mnatafuta nini? Ninyi ni omba omba pauperism kwa...
11 Reactions
111 Replies
3K Views
Kwanza nianze na salamu. N.k.j.j.m.w. Hii tabia ni mbaya Sana. Wanaume wetu wanateseka Sana wanapojua wamechapiwa. Wengine huamua kuchukua hatua mbalimbali zikiwemo za kichawi. Kumtoa MTU...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Tujikumbushe: Mwaka 2008 Wasabato Masalia walitinga Airport Dar wakitaka kwenda ng'ambo wakaeneze injili bila kuwa na documents yoyote kama visa, passport, tiketi nk 😂😂😂 Nchi hii imepitia...
4 Reactions
8 Replies
676 Views
Niulizeni chochote kile mnachofikiria kunihusu mimi nitawajibu
1 Reactions
5 Replies
338 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…