Nakumbuka maisha ya zamani, sasa Nimeanza kupita mjini kuulizia bei ya koroboi na mafuta ya taa kwani umeme huu haueleweki kabisa. Sijaona koroboi mjini Dar, labda nitoe nitengeneze mwenyewe na...
Wadau,nilianzisha jana mada humu entitled:Utoto Umezidi humu.
Nimepitia comments,na wengi kweli wamenitukana wakihisi kuwa nilianzisha thread ile kuwatukana.
Kwa kweli,NINAOMBA RADHI,kwani...
Kila unachotaka we google tu,nami si nika google "demu" wacha nisubiri nikitegemea katatokea kademu kazuuri ili kawe ka shemeji yenu,nikawa nachungulia C.P.U pengine kana jipamba afu ndo...
IN BOX SMS ZA MSICHANA
Frank: I love u gal.
Mpesa: You have received 15,000 kutoka kwa John Tesha.
Bodaboda: Unajua nahisi km nataka nikutoe diner leo.
100: Umepokea muda wa maongezi wa...
Madame B akili yangu imenata,nashindwa kujua a wala be kwa ajili yako.japokuwa sikujui lakini feelings nilizonazo juu yako kwa kweli nasubiri wakati na muda muafaka wa kukuonyesha dhahiri,Madame B...
Haya wale wadau wa Chama Cha Wala Bata Tanzagiza{CHAWABATA} mpo? Weekend ndo inaanza. Muda wa kuondoa stress za wiki nzima ndo umewadia. Kama kawaida ya wala bata basi ni vyema kupeana direction...
jamani turudi tuliko zoea. hakika wa mbili havai moja. mi nmekuja hapa kuangalia utaratibu wa kwenda zangu tabata lakini cha ajabu hii treni haionyesha dalili zozote za kuwashwa. na magari yote ya...
Wana JF last week nilikuwa natoka job na kusimama na sista du mmoja pale posta kituoni tukisubiri gari ya mbezi ya kimara, ilipokuja watu waligombea kinoma mie mwenyewe ilibidi nikae pembeni ili...
habari za leo wakuu
Nimemiss nyumbahii kwa siku kadhaa.hii ni baada ya kupata ajali ya gari maeneo ya oldonysambo wiki mbili zilizopita baada ya gari yangu kupasuka gurudumu la mbele na kuacha...
Niko serious wadau.
Nimeamka leo nkahisi maumivu kama bruises kwny makalio juu(chini kidogo ya kiuno). Awali nlipuuzia nkisema labda ni mkanda na kukaa muda mrefu mana nlisafiri kwa basi toka...
KDDDA Company
Box Tarime
APLICATION OF JOB
I am aply to my job of security guard to you boss in you company of KDDDA.
I am complete to Sitandad 7 examination certificate in 1997. My...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.