JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
I am a man here i am looking only friendship,jaman mi natafuta marafiki wa kubadilishana nao mawazo,aliye taya ani PM.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
hii ni kiboko sasa
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wasalaamu, kutokana na mashindano ya kumsaka miss chitchat naomba kura zenu kwa Arabela nipochinii ya miguu yenu,naomba sana
0 Reactions
12 Replies
985 Views
Jamaa m1 alikua amekaa baa akiitizama bia yake kwa zaid ya dk 20,akaja baunsa akachukua bia na kuinywa yote..yule jamaa akaanza kulia baunsa akamwambia uclie nilikua nakutania 2...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kudadadeki...huu ni wizi wa mchana...enyi wenye maduka na migahawa ya chakula komeni kabisa na hii mbinu mpya ya uwizi wa mchana... eti unaenda dukani tena kubwa tu...anakurudishia chenji alafu...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
fungua hapa ..najaribu tu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Huna ndugu aliyepanda treni la Mwakyembe? inasemekana dereva kajisahau alijua ni longtrip,sasa hivi wako Makambako ndo wanarudi tena Dar.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika basi mama mmoja alitaka kumnyonyesha mtoto.mtoto akakataa,mama akamwambia nyonya,kama hutaki nampa anko anyonye!" anko ni kaka mmoja abiria aliyeketi na huyo mama. Mtoto akanyonya kidogo...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Teacher:"What is a verb?" Student:"A verb is a valve found on a bicycle." Teacher:"What are you saying?" Student:"Its a complete sentence." Teacher:"Are you mad?" Student:"Its a question."...
0 Reactions
7 Replies
722 Views
Mambo vp wana jf, jamani huwa najiuliza mara kibao lkn sipati jawabu, issue yenyewe iko hivi, hivi ukienda kununua gesi utajuaje kama imejaa ktk mtungi ulioununua? Mimi naona kama tunaibiwa kwani...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Ilikuwa kwenye Kitchen Party.... "Mwanangu maana ya ndoa ni Ikulu, Mume akikwambia anataka Ikulu na wewe mjibu na mie nataka Koni.. Akileta Koni yake ikamate kama Mike, ichezee, irambe mpaka...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
God created the donkey & said to him: “You will work unceasingly from sunrise to sunset carrying burdens on your back. You will eat grass, you will have no intelligence & you will live 50 years...
1 Reactions
0 Replies
685 Views
mambo dhenu wadau wa chit chat? hope mko po, mko poua. . . hebu tupieni majina ya mitindo ya kusuka na kunyoa nywele. . . kwa kuanza kuna mitindo ya kusuka - twende kilio - jicho la mke...
4 Reactions
137 Replies
40K Views
Mhm! mimi nashangaa kabisa hebu soma kisa hiki hivi ni kweli jamani! "Baada ya Mahubiri: Mchungaji akawaambia waumini wake wafumbe macho....; Akainama na kuingiza mkono katika kapu la sadaka...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
utamu wa mitumba.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamaa watatu walikodisha hoteli ya ghorofa 60, wao wakapata ghorofa ya mwisho kabisa, wakapanda kwa lift na asubuhi wakashuka kwa lift, jioni walivyorudi wakakuta umeme umekatika wakakubaliana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kutokana na ukindhani kati ya Dini na Serikali za Dunia juu jinsi ya Kuzuia Mambukizi Mapya hasa kwa matumizi ya Kondomu, mtu mmoja amebuni ujumbe ufuatao ili ku-balance "The Bible/Quran may...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Duh, lara 1 naumisa loho yangu wallahi............ Mtoto umekwiva kama Papai, mai weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.....LOL Mama Ngina na mwanae King'asti wakiona hii maneno yangu mbofu mbofu ...
2 Reactions
43 Replies
3K Views
Back
Top Bottom