JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mimi binafsi lazima ntaingia mtaani kuandamana iwapo serikali itaendelea na wazo lake la fao la mifuko ya hifadhi ya jamii kutotoa mpaka nifike miaka 55 wakati mm mwenyewe sina mpango huo?? Sent...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mwe, mwenzenu mie sikuwapo mahala hapa kwa miezi kadhaa, leo kuingia tu humu Chirt Chat nakutana na watu wapya kibaao, hata siwafahamu mie, basi kama isingekuwa kumuona Bishanga, wallaahi...
14 Reactions
133 Replies
7K Views
Peopleeeeeeeeeesss Waukweeeeeeeeee!!!!!!! Kama kawa kama dawa TUMETISHAAAAAAAAAAAA!!!!! Sasa ni KUSEAL THE DEAL TUUUUUU!!!!!!!!!! PATI LA KUSHEREKEA UBINGWA MSIPIMEEEEEEEEE!!!!!!!!!! THE DREAM...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
nakaa kigogo kwa nyuma- nakalia kigogo kwa nyuma ndio kwetu pale, Nimekuta hayupo-nimemkuta hayupo maji yameenda kuletwa- maji yanaletwa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huu usafiri wa daladala ni too much usumbufu, yaani mtu unakaa kwenye siti halafu yule aliyesimama anakuletea makalio yake karibu na pua kwa kweli inakera sana
3 Reactions
41 Replies
4K Views
Cheki wanaume tunavyotongoza huku kwenye ma-bar sababu ya MIBIA...............!! Hahahahaha.........................!!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamaa mmoja alikuwa gesti na demu mmoja,,asubuhi kulipopambazuka kukatokea ugomvi mkubwa baina yao.Mazungumzo yalikuwa hivi: Demu:Naomba hela yangu Jamaa:Hela ya nini? Demu:Unadhani umepata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika uzi wenye jina 'Wanawake muwe na aibu' wa Jamii01,nilitamka maneno ambayo si ya kawaida kwa umri wangu. Ukaninukuu na kuniuliza swali la kuchoma sana moyo wangu.Ukasema:uuuuuuuwhi,ni wewe...
1 Reactions
89 Replies
4K Views
Daddy ninaomba hela mwalimu katuambia tununue kitabu cha Twitter, halafu daddy pia kuna kile kingine cha Facebook kinahitajika kwa ajili ya maswali na majibu..... Halafu daddy nilisahau kuna...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
sharobaro alikuwa chumbani na changu,changu akavua nguo zote na kuzitundika kabatini,sharobaro akastuka kuona changu yule ameweka bastola kitandani..akauliza..hii nayo ya nn??changu akajibu...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Jamani ninauza pilipili,kwa wahindi nitawauzia kwa bei nafuu kidogo ila polisi hasa siku ya leo nitawauzia bei kubwa,najua leo ijumaa watakuwa na uhitaji mkubwa.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Fact 1:You can not touch your lower lip with your tounge. Fact 2:After reading fact 1,99% ****** would try it.
0 Reactions
0 Replies
868 Views
Mwanamke zuzu alikuwa na mchumba wake zuzu kama yeye, lakini mwishowe uhusiano ulivunjika. Sasa huyo jamaa alikuwa akimsumbua sana kumpigia na kumtumia sms na yule mwanamke kwa simu kila siku...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakubwa zangu shikamoooni (Wajameni mnipe kura i greet you like every day!) Peopleeeeeeeeeeeeeeesssssssss!!!!!!!! Niajeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!! My peoples people wa ukweeeeeee, people wa...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
teja aligombana na babaake.akatoka nje akiwa amekasirika akaenda moja kwa moja hadi kwenye geti la makaburi afu akabandika picha ya babaake chini ya picha akaandika "COMING SOON"
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Leo wakati natoka job narudi hm, njian nilikutana na kijana kama vile katoka kuvuta ile kitu(bange), aliponiona tu akasimama na kuanza kucheka sana baadaye akanyooshea kidole uelekeo wa mdomoni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wapendwa wana chitchat naombeni kura zenu za nusu fainali mpaka fainali. Jamani tafadhalini sana tena sana nichagueni ili niwe miss chitchat wenu. Naombeni ushirikiano wenu
0 Reactions
39 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu. Wenzangu nanyi mmeipata habari hii ya kuwa "MBINGUNI ni KIGAMBONI. HOUSE GIRL NI HALALI YAKO ZAANAE.Wababa mnapaswa kuwa na WAKE ZAIDI YA 7, WANAWAKE mlio katika ndoa WAPENI...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Niwatake radhi kwa kuchelewa. yafuatayo ni majina ya washiriki KUNDI A 1. Ciello 2. FP 3. charminglady 4. pretty n 5. snowite KUNDI B 1. Arabela 2. Natalia 3. CUTE...
1 Reactions
273 Replies
11K Views
Back
Top Bottom