Wanajamvi,
Kuna Ndugu yangu ambaye anasema amefanya utafiti na majaribio mara nyingi, hadi amefikia conclusion kuwa ukiongea kwenye Mobile phone na wana-nasaba wako kwa KILUGHA huwa charge yake...
Napenda kuthibitisha kupokea zawadi. Nawashukuru wote walionisupport nawapenda sana nathamini mchango wenu bila kura zenu nisingeweza kupata nafasi hii. Nawapenda sana
Mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia leo majira ya saa tano hadi asubuhi imewasababishi usumbufu wakazi wengi wa jiji hili. Wapo ambao hawakulala wakishindana na maji ya mvua. Yanaingia ndani, wao...
Jamaa alishtakiwa kwa kosa la "Ushoga".
HAKIMU-Kwanini unajihusisha na tabia ya "Ushoga"?.
MTUHUMIWA-Samahani hakimu,Sikujuwa kama mku*d* ni mali ya Serikali
wasalam
Baada ya kumaliza nusu fainaly,tunaingia katika hatua nyingine ya kumsaka mshindi wa kwanza amabye atakua Miss Chitchat na kuibuka na muda wa maongezi wa Tsh 7,000/= .Pia Mshindi wa pili...
Jana wakati wanakula walianza kama
hv...
Wenje: Mwongozo wa Mwenye Hotel,
chumvi haitoshi. Mnyika: Taarifa Mheshimiwa., Mchuzi
unaonekana wa Jana siungi Mkono
Hoja ya Kulipia Chakula hiki...
Ndugu wana-jamvi
Hii inaniumiza kichwa naombeni mnisaidie kujua rangi ya pundamilia,
Je Pundamilia ni mweusi ana mistari myeupe au ni mweupe ana mistari myeusi.Nawasilisha
Hebu makinika nami mchana huu .
Namuongelea Samaki .
Samaki kama ilivyo ada , maeneo tajwa hapo juu ndivyo yalivyogawanyika aidha katika tumlavyo kila mtu ana maeneo shoboko , namna apendavyo...
Sijawahi ingia Lock up na umri huu.Bt leo nimeonja joto la jiwe.Duu,mapolisi wana kieleele,Ogopa.Halafu,naona utaratibu kuingia cyo fair kabisa.Omba sana us3
Kutokana na ushindani uliopo hivi sasa;nimekuja kivingine kabisa.Nitagawa hizi noti kwa yeyote ambaye yuko tayari kuungana na mimi atapata huu mzigo.Na utakusaidia kuboresha maisha yako ya sasa...
Kinyozi mmoja alikuwa ananyoa kwenye Saloon yake iliyokuwa floor ya 1 kwenye jengo husika. Baada ya muda akahama na kwenda ground floor. Kufuatia kuhama kwake akaamua kubandika tangazo kule...
.... It was about 12.00 noon, which is supposed to be lunch hour, when about five, charming armed robbers, visited one of the banks in Arusha town. The smiling thugs greeted every customer with...
Je huna ndugu yeyote aliyepanda treni ya Mwakyembe leo? inasemekana kwamba dereva wa hiyo treni kajisahau alijua ni LONG trip, SASA Hivi ndo wako Makambaku wanarudi tena Dar:bange::violin::israel:
Kweli kifo kinaogopwa
Jamaa aliingia msikitini kwa kasi na panga mkononi huku jasho likimtoka, akauliza nani muislamu humu ndani? waumini wote kimya... jamaa akauliza tena, nani muislamu humu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.