JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Sikujua kama utafungua,samahani kwa usumbufu!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ukiipata shika shikamane ukiiokosa usiombe ya mwenzio halooooooooooooooo
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Tiririka mwanaJF.NIPO pande za mabibo No Umeme mpaka ubungo
0 Reactions
58 Replies
3K Views
Baada ya polisi kuanzisha msako wa kukamata wapika gongo mitaani, mama mmoja aliamua kwenda kupika gongo kwenye mapango mida ya saa kumi na mbili na nusu jioni. Wakati akiendelea na zoezi lake la...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Majambazi walivamia mji mmoja, yakawakuta mke na mme. Majambazi yakaanza kuwahoji kama ifuatavyo:- Majambazi: wewe mwanamke unaitwa nani? Mke: Naitwa Elizabeth Jambazi mmoja: wewe tumekusamehe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mumealirudi nyumbani ghafla akamkuta mkewe amelala na kijana mmoja kitandani kwake akamuuliza: " Mamb gan haya mke wangu?" Mke akamjibu "Huyu kijana nlimkuta sokoni anaomba chakula nikamleta hapa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu na maalwatani wa jukwaa hili nawasalimu kwa salute!!! nimesikia, na kuisoma methali hii isemayo "kila shetani na mbuyu wake" nimeitafakari sana, tena kwa kina! kichocheo kikuu cha tafakuri...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Miaka michache ijayo, ibada zitakuwa kama ifuatavyo. MCHUNGAJI: Bwana asifiweeeee! WAUMINI: Ameeeeeeeeeni! MCHUNGAJI: Tafadhalini washarika sasa tuchukue iPad, tablet PC, simu na kindle zetu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
kupenda penda mwisho umeangukia huku,ulianza kwa kufumaniwa mwanza sasa imeangukia mdomo. Mapenzi yamekufikisha hapa. Tumsaidie kijana
1 Reactions
50 Replies
4K Views
*Smart boss+smart employee=profit *smart boss+dumb employee=production *dumb boss+smart employee=promotion *dumb boss+dumb employee=overtime!!!
0 Reactions
0 Replies
767 Views
Habari zenu, Nipo hapa na mtoto wa darasa la 3, wa kike anamiliki simu ya Nokia N70 nlipotaka kujua zaidi amenijibu mama yake kampa aitumie, nlitaka kujua zaidi kama ni kweli mama yake kampa au...
0 Reactions
1 Replies
974 Views
Hali zenu wana CC? Miye mzimz mno nzptz senge bardii muda huu yani week end ndio imeanza! HAVE NICE WEEK END!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
........watoto wamelala... naanza nyie mtamalizia.. '' nishike ma... ''dia .... ''nina nye... ''nenda chu... ''mbona mtalimbo uko do..... ''ingi........... ''mbo... ''kuna harufu ya...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Around the corner I have a friend, In this great city that has no end, Yet the days go by and weeks rush on, And before I know it, a year is gone And I never see my old friends face, For...
0 Reactions
0 Replies
604 Views
Nachukua fursa hii adhimu kukanusha habari zilizoletwa leo hapa Jamvi . Taarifa iliyoletwa na Ruhazwe Jr. Nikiwa Kaka wa Erick nathibitisha kwamba mdogo wangu hana tatizo lolote la kusaidiwa...
1 Reactions
54 Replies
3K Views
1. The ventilation system of any building is the perfect hiding place. No one will ever think of looking for you in there, and you can travel to any other part of the building you want without...
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Wana wa bodi , nathubutu kufunguka kua tangia shindano la Miss Chtcht lizinduliwe sijawahi ku'vote . Aidha nimekua nashiriki ku'share comments kwenye Thrade zihusianazo na mchakato wa shindano...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Hi JF, leo nimekaa mahali nikamwona dem wangu flan kipindi nikiwa kijana nikakumbuka mbali sana, kipindi hicho nilikuwa getho na masela wenzangu msela akikamata kitu chake unapishwa ukajiulie...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinvyo someka!Tutajie hapa mimi ni thread ilikuwa kwenye jukwaa la technology Ilikuwa ina sema download software hapa!
0 Reactions
2 Replies
975 Views
Wana Chit chart, wiki ijayo Ijumaa natia timu Dar, na nitakaa kwa siku tatu pale viunga vya Msasani, Kidume yeyote yule ambaye angependa atoke na mimi kwa dinner afanye booking mapema (Lakini...
4 Reactions
91 Replies
6K Views
Back
Top Bottom