JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
jamaa mmoja usiku kucha alikuwa anajamba ovyo kila aina ya sauti,mara pwiii,fyuuu,puuuuu,yusuphuuuuu,tata taaa!!!Mkewe akamuuliza una nini leo.jamaa akajibu "natafuta ringtone ya ma.ta.ko yangu"!!!!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
"The two most important days in your life are the day you were born and the day you figure out why." - Mark Twain
0 Reactions
3 Replies
848 Views
Nipo moro nimekuja jana kutoka Dar. siumnajua ugeni hatasijui niende wapi?wenyeji nipeni mwelekeo wa kuchangamsha macho na moyo.
0 Reactions
3 Replies
658 Views
Nimekaa nikaangalia faida na hasara za ndofu nimegundua yafuatayo! Faida za Ndofu: 1. Zinanipa kitambi cha kuzugia 2. Zinanipa raha kwa Muda Hasara za Ndofu: 1. Zinanigombanisha sana na Amyner...
9 Reactions
299 Replies
12K Views
Kazi Kweli kweli
0 Reactions
0 Replies
699 Views
juzi bado kidogo nivunje mbavu kwa kicheko nilipoambiwa eti Vitz aka yake inaitwa Baby Walker!,lol!haya,tupieni aka za magari mbalimbali wadau
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Juzi kati Dada mmoja ameaibika mbele ya wakwe zake, kisa meseji ya mapenzi kaikuta kwenye simu ya mme wake, kisa kamili jamaa baada ya kushtukia mke wake huwa anakagua simu yake akiiacha na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ukiwa kama mzazi utamfanyaje binti yako huyu?? Kakosea kutuma message akakutumia wewe mzazi na ipo kama ifuatavyo; ''mpenzi siwezi kuitoa hii mimba kwani nitaharibu kizazi changu kumbuka mpaka...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Do you see the brunette on the road? Yes this is one good looking brunette... WTF!!!
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Malkia Elizabeth alipokuwa Jehanam alimuomba Shetani (Msimamizi Mkuu) ampatie simu aongee na watu wake wa Ulaya, akapewa akaongea kwa dakika 5, akauluza bili akaambiwa ni Dola Million 5, akaguna...
3 Reactions
20 Replies
5K Views
"Short time" "Mchati" "Kwa babu" "Kulala"
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau najua wengi wenu mnajua kuwa kuna Simba TV je wenzangu mnijuze inapatikana kwenye frequency gani ? Nina hamu sana na Tv ya chama langu au mambo ndo@yaleyale ya uwanja pia kiza totoro...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Guys leo nimejikuta nakumbuka siku niliyoonja pombe kwa mara ya kwanza! Ilikuwa standard 2 wakati tunaiba za mzee then tunajazia maji akaja kustukia kitu hakiwi na ladha akatuzingua balaa ila...
0 Reactions
62 Replies
4K Views
Kaunga, njoo huku unaitwa.
0 Reactions
44 Replies
3K Views
Wajameni kwa wale mafuns wa Simba, naona kwa mwelekeo huu inaweza kuwa ndio mwanzo mwisho wa makeke yao kwani nasikia hata tumaini lao NGASA kakimbia timu badala ya kwenda Mwanza kupata kichapo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
1.Mateso yakizidi Neema inakaribia 2.Paka haishi kwa msela 3.Jogoo hafi kwa utitiri 4.kuku kuku tuu jogoo jina. Hii yote nafurahi pindi niionapo.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ulinitosa tukiwa form six kisa navaa soksi zilizotoboka visigino
2 Reactions
89 Replies
10K Views
Naombeni kujua kama kuna dawa ya kutibu jino bila kuling'oa. Kuna wakati nilinda kwa dentist akaniambia kuwa kuna jino linaota na hivyo linaugandamiza ufizi akaishia kunipa dawa za kutuliza...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Guido Westerseller ni Foreign minister wa Ujerumani . Aidha Guido anaetoka Free Democratic Party (FDP) Ndiye Vice Chancellor , wa Mama Angella Merker. 2010 July mbele ya waandishi wa habari ...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Pastor mmoja hupenda kuchangamsha waumini wake wakati wa mahubiri kwa kuwaambia,"Ambia jirani yako yesu anakupenda." Leo akawa anahuburi kuhusu wanawake wasio pata mimba akaambia waumini,"Ambia...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom