JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
hali zenu wadau, leo ni siku ya tatu nahic mguu wangu wa kulia unakosa nguvu. unakuwa kama unakufa ganzi hivi, nikitembea unakuwa mzito kweli ila hauumia kabisa. je kuna ambaye anaweza kujua...
0 Reactions
66 Replies
4K Views
Wahenga walisema..."mke wa mtu ni sumu" Imethibitika..."mke wa mtu ni gundi" Hahahaaaaaaaaaha!!!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baada ya kuwa kimya mda mrefu na pilika za maisha japo tulikuwa pamoja kwa namna moja ama nyingine naomba niwape pole kwa ndugu zangu wote walio kutana na wakati mgumu mpaka kufikia kukata tamaa...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
nilipata hii msg nikachoka, kwenye duka la mkinga, pata sukari, mayai, baiskeli, vitenge, pilau, wali kuku, sambusa, matairi ya trekta,madaftari, bia aina zote, petroli matunda aina zote, nazi...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
wana jf kitu gan unakipenda kufanya na kinakufulahisha sana.hebu tililika basi
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Niliyoyaona nilipokuwa Sero. Ilikuwa siku ya Ijumaa ya juzi tarehe 02.11.2012 majira ya 13:10hrs nilipigiwa simu na afande mmoja kutoka central police ya Arusha, akiniomba nifike pale mara moja...
0 Reactions
120 Replies
11K Views
Habari wana jf, Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza!! Nilikua naulizia sehemu nayoweza pata fundi mzuri wa kulekebisha nguo zangu Maeneo! Along njiro road!! Town if possible
0 Reactions
60 Replies
6K Views
Pale Braza 'ako au Sista 'ako akiwa na mpenzi kisha wakaachana huwa Wanaitana Ex-Boyfriend/Girlfriend ama Ex-Wife/Husband.. Sasa wewe Mdogo/Dada/Kaka Mtu uliyekuwa unam-refer Mpenzi wa Sista/Kaka...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
hii picha inatufundisha sisi waafrika nini cha kufanya katika dunia ya utandawazi ambayo ni kama pori ambapo mwenye nguvu humwinda mnyonge.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ENJOY THE DAY "MLEVI mmoja alioa mke. Mkewe alikuwa hajatulia hata kidogo. Siku moja mkewe akiwa anajivinjari na msela, MLEVI akarudi home ghafla. mkewe akamwambia yule msela Usiondoke, lala...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamaa mmoja alianza tabia ya kumwingilia mkewe kinyume na maumbile,tabia hii iliendelea na mke akakosa uvumilivu. Baada ya kukosa uvumilivu ilibidi awaeleze wazee wa hekima ili kumhoji mumewe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani mm nataka kwenda Angaza lkn nashindwa nianzie wapi. Tatizo ni kwamba zamani nilikuwa siugui kabisa lkn kwa sasa homa na mwili kukosa nguvu ni kawaida. Nawaza sana khs kwenda kupima afya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Balaa la hii familia sijawahi ona,, Mtoto wa kongosho kamuoa lara 1, wifi yake lara 1 ni natalia,,,, ..................................
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Inakuwaje mtu anauandikia moyo wake barua? NA ukipata wasaa wa kuuandikia barua moyo wako utauambia nini?? Huu ni ujumbe wangu kwa moyo wangu: Dear heart, release Bishanga kwenye kaselo...
1 Reactions
44 Replies
3K Views
Traffick Zuzu alimsimamisha mwanamama aliyekua anaendesha gari mitaa flani hivi. Traffick: Naomba Leseni yako tafadhali. Mwanamama: Leseni ndo ikoje? Traffick: Ina shepu ya mstatili afu ina sura...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani jamani, Asikwambie Mtu, Chit Chat tamuuu.....!!!!!!!!!!, matumbo nilikumisijeeee, japo najua huko uliko unaguna tuuuuuuuuu.............!!!!!!!!!!!! Madame B nimerudi na Ari mpya, Nguvu mpya...
11 Reactions
372 Replies
15K Views
Wa Ndugu, Kama wiki moja hivi iliyopita nilikuwa Liverpool,UK kwa dhumuni la kumuwakilisha mteja wangu kwenye baraza(tribunal) moja la migogoro juu ya biashara ya pamba, nilipofika Heathrow...
0 Reactions
153 Replies
14K Views
Jana nikaamua kuwa swaga wa kitaa>.........!! Nimepiga tingasi karibia kila kona ya jiji hili lengo ikiwa ni kushangilia ushindi wa Siiiiiiiiiiiiiiiiii ahaaaaaa kumbe siyo Simba wajameni ni YANGA...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom