Q: How many politicians does it take to change a light bulb?
A: Two. One to assure the public that everything possible is being done while the other screws it into a water faucet.
Ndo niko live naona Star times wameamua kuziweka rasimi Star tv,Eat,Itv naona zote ziko =on test si unajua tena December imeshafika analogue bye bye karibu Digital
Hivi punde nimesikia mvunjiko wa habari .
Source Habibu Gea wa clouds .
Habari Mwanaume na Mwanamke wamegandana.
Wamefikishwa Temeke hosp kwa kuganduliwa.
Taarifa zaidi zadai Temeke hosp...
Wewe bwana mudogo najua iko humu JF wewe,
Haya mambo yako ya uchokonozi haya wewe mtoto sio mazuri,
Unajua kabisa kuwa sasa hivi watu tuko kwenye puresha ndani ya kyama yetu ya Mabinuzi lakini...
husika na kicha hapo juu.....HILI ni onyo....katabia kakurusha mawee juu ya paa uache....
:behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa:
:behindsofa::behindsofa::behindsofa::behindsofa:
Ujinga Ni............
1.Ujinga ni Kumenya pili pili.
2.Ujinga ni kuuliza Konda yupo wapi wakati
umepanda piki piki.
3.Ujinga ni Kupiga Kandambili Kiwi.
4.Ujinga ni kesema Rose muhando Malaya...
Siyo ile ya kujifunika mashuka mawili-mawili, mpaka sie wachafu tukapata sababu ya kukwepa kuoga.
Hili jua ni nowmer, ukiweka nyama chumbani kwangu ukirudi unakuta mishkaki.
Wageni karibuni Dar...
Teacher to a student: "Can you think of a solution to end unemployment?"
"Yes, sir! I'd put all the men on one island and the women on another."
"And what would they be doing then?"
"Building...
panya wa kwanza.
mimi sikamatwi na mtego wowote kwani nimegundua binadamu ana akili ukipita kwa mbele lazma ukamatwe mimi napitia nyuma ya mtego na baada ya kutegua ndipo nakula chambo.
wa pili...
Kwa vile serikali inataka kuwawekea kodi mpaka wale wenye biashara ndogondogo, basi inawabidi pia watoze kodi wezi, majambazi na vidokozi maana wanajipatia kipata kutokana na kazi zao. Labda hili...
Baada ya kukaa humu jukwaani kwa muda wa kutosha, sasa nimeamua rasmi kuomba kujiunga na hii familia ya wana chit-chat, sababu kubwa ikiwa ni kuchoshwa na siasa na mambo mengine mengu tu.
Hodi...
Kijana mmoja baada ya kutajirika akamwambia baba yake, Baba sema nikulipe nini ili tusijuane tena! Baba akamjibu "Nipe mkeo nimnyonye maziwa kama wewe ulivyomnyonya mke wangu" Kama ni mwanao...
Wadau nafurahi sna kujiunga hii leo katika jukwaa hili lenye fikra chanya za vijana na watu wa rika mbalimbali wenye mawazo thabiti kabisa...........:happy::happy:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.