JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Brajec Club: Mwanaume mwenzangu yu karibu na meza yangu,namwonea huruma sana ni kama King Mswati, meza yake imezungukwa na mabinti kama sita ambao wanapiga nywaji kali. Ni mabinti wa chuo kwa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Huu msemo kautoa Mpoki jana wakati wa Ze Komeni
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nasikia karibia uende alipo baba wa taifa,ukifika mpe barua hii:- Dear Nyerere, tangu ufe mlima Kilimanjaro uko Kenya, ziwa Nyasa liko Malawi, Tanzanite iko Kenya, Tanesco ni ya Lowassa, Shekh...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
There was a guy at a bar, just looking at his drink. He stays like that for half of an hour. Then, big trouble-making truck driver steps next to him, takes the drink from the guy, and just...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Si ni hawa wanaojiita VODACOM ! Hivi unamuelewaje mathalan mtu kaweka bandiko , "FUNDI & MTAALAMU MAHIRI WA KUTAHIRI, ZILETENI" Wenye zakari zao wakaitika! Wakakushushia zakari za kutosha...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
We uko upande gani?
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Wana cc! Habari za muda huu? Wadau wenzangu naomba mnisaidie mawazo yenu kuhusu hii makitu inayoitwa TIKISA inayorushwa ITV! Mimi naona haipo kwa ajili ya mila na desturi zetu! Kwa nini hawa...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
When you walk into a bar and see two/three/four ladies sitting together, how do you chose the one you want to talk to? What do you notice first when you see a woman that makes you want to talk to...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
26 yrs of age si haba,, naona wedding bells nazo zinakaribia kugonga as life la kibachelor nimeona pengo lake as wife angekuwepo ndan si ajabu bonge la keki na mapocho pocho kibao yangekuwa...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
-Mtindo huu hasi wa maisha,mtindo wa karaha kuwa raha ,tukubaliane lishe za hovyo ni chanzo cha maradhi ya kusendeka(maradi yasiyoambukiza) saratani,kisukari,shindikizo la damu,kiarusi na maradhi...
0 Reactions
3 Replies
932 Views
Nauliza tu jamani,hivi kuna utaalam wowote wa kutumia Aquarium bila kutegemea nguvu ya umeme? Samaki au viumbe wengine wanaweza kuishi bila mzunguko wa maji unaosababishwa na umeme?
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwenye safari kwa sisi ambao bado tunatumia usafiri wa Umma, kuna kero mbili ambazo zinatukabili wasafiri. La kwanza ni ukosefu wa vyoo kwenye njia tunazotumia kusafiria matokeo yake hujisaidia...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
wadau nahtaji mshenga mwenye uzoefu wa kuweza kumbadilisha MENTION= Elizabeth dominic MENTION.nimetumia uzoefu wangu kwakila hali nimekwama lakini bado nampenda na namuhtaji.atakayeweza...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi.. salam hizi zinafatana na shukrani kwa MUNGU. Jana ndio nilirudi hewani baada ya tukio la juzi lililotokea maeneo ya beach. ilikua hivi nimetoka na washikaji naenda...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Muungano wa Zimbabwe na Tanganyika ilikuwa"One ninenteen sixty four Uhuru wa Tanganyika ulikuwa One ninenteen sixty one.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna bwana mmoja aliambiwa mke wake yupo na mtu mwingine gest fulani chumba no. 7. Akakodi Taxi mpaka hapo gest akampa deleva wa Taxi hela yake na ya ziada na picha ili akamletee mkewe kwa namna...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
habhali yenu bhana Tukiwa kwenye maandalizi ya kuanza mashindano naona ni bora kutangaza zawadi kabla ya kuanza mashindano hapo tyarehe 31 oct, zawadi kwa mshindi wa kwanza (ambaye ndio...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
jamaa mmoja alienda kwa kinyoz akamulza knyoz vp utatumia mda gani kunyoa,kinyoz akaangalia folen akasema md wa saa 3,jamaa akaondoka,kesho yake akarud tena,akamwulza tena knyoz akaangalia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Niliona tangazo hili kwenye moja ya matangazo yao (1)...... "Unagongwa" (2)......."Usikubali kugongwa tena" Unaonaje...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom