JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
si vibaya ukajisevia mwenyewe hapa karibuni sana
0 Reactions
6 Replies
1K Views
za leo waungwana , hamjambo sasa jaman mwenzenu leo miguu inawasha inaamaana lazima safari iwepo sasa bas najua leo sikukuu nialiken basi jaman mi nipo mza ivo loooh ila kuna kammvua hapa nipo kwa...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Lete michongo, idd el haj ilikuwa vipi pande zako, me kawaida sana kama kawa sijawa na mtoko leo. nimechil na JF, pamoja na kuperuzi mambo mengine. Gud day people.
0 Reactions
5 Replies
909 Views
Math Teacher If a=b and b=c then a=c, now give me the practical example of this principle from real life. Student : I love you sir and you love your daughter which means I love your daughter.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wasalamu Leo naomba kujitokezahadharani kwa mara ya kwanza nikiwa nawazo tofauti kidogo,nitaomba kuulizwa lolote kuhusiana na mimi,niulize lolote ambalo ungependa kujua toka kwangu. wenu katika...
2 Reactions
51 Replies
3K Views
Jamani nimechoka kulea na mm nataka kulelewa. Karibuni
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Dear Nyerere: Mlima Kilimanjaro upo Kenya,ziwa Nyasa lipo Malawi,tanzanite ni ya Nairobi,Tanesco ni ya Lowasa na rais anaishi airport. Zamani ukiongelea kilimo tulikuona kwa vitendo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wapenzi wadada wote ninaokutaa nao waongooo halafu wanagawa kishez,yaani hadi nimechoka kuotka na mademu mwezi sasa nipo single...dah ila hali tata bana hata sijui nifanyeje
0 Reactions
5 Replies
870 Views
Remember, life is a wheel, just give it a whirl
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Nawatakia kheri ya sikukuu ya Eid al adha kwa wana JF Wote popote mlipo, Sio vibaya pia tukajua kilamoja atakua viwanja gani akijumuika na familia yake. Mimi nitakua Ngorongoro weekend nzima na...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
eti ndugu waislam wenzangu,nyie mnaonaje?
0 Reactions
4 Replies
883 Views
Kumekuwa na wingi kubwa sana la watumiaji wa Black Berry Messenger Hapa Tanzania Kama njia Moja wapo ya Mawasiliano lakini watu wengine wameanza kuitimia Vibaya njia hii hasa Dada Zetu kwa kuwa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi wajameni nashindwa kuelewa sababu ya hii foleni ya Posta jioni hii....baada ya kupoteza kama saa nzima kwa kutembea umbali wa mita 500, nimeona bora nipark gari na kuendeleza libeneke la...
0 Reactions
5 Replies
968 Views
......jus join Boflo oooo's tag list.. anatisha.. hutokosa cheka........ Boflo ooooooooooooooo :cheer2:
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Familia yenye mkwanja kidogo, walikuwa wanaishi katika kabangaloo kao kenye ghorofa moja. Mamaa alikuwa kajifungua mtoto wa pili ana wiki mbili tu DOGO: Mamaaaaaaaaaa njooooo huku chumbani...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa niaba ya Waziri wa Elimu wa nchi ya muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe mwaka 11964 nawatakia nyote sikukuu njema ya Iddi.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Dakika tano tu zilizopita tukio hili limetokea hapa kigamboni: Jioni ya leo tumepata wageni wengi mpaka ilikuwa raha sana. We enjoyed the jokes and th company kwa kweli. Muda mfupi uliopita...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
nadhani anaongoza boflo kwa kupendwa na mabinti-sasa sijui kama wanajua ni me au yeye ni ke!halafu mwingine ni smile anapendwa sana na wanaume-sijui naye kama ni ke au me!!engine wanaopedwa sana...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
Jamani sijawahi kula nyama ya bata. Je hapa jijini Dsm ni hoteli ipi wanauza nyama ya bata? Sokoni wako wengi wanauzwa lakini nasikia ukichinja bata ni lazima umning'inize kwanza kwani ana maji...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
txt me 0785821851
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom