heshima mbele wana chit chat, nina imani kila mmoja wetu hapa ana siku 2 ambazo hatazisahau maishani mwake.
1st. ni siku ya furaha, hii siku ambayo ulifurahi furaha isiyo na kifani. . .
2nd...
Dah jamani rahaaa.. Kweli wadau mnafaidi, kwa mara ya kwanza mtu mzima nimetua midwest pande za chicago illinois ndan ya ORD nawait connection yangu ya 3 kuelekea zangu grinnel iowa,, nataman...
Kuna dada alipnda kwene daladala akakaa karibu na deleva,
deleva alikua amemtamani akawa kila mara anabadili gia
na kumgusa dada pajani. Yule dada akamwambia we hujasoma
bibilia kifungu No...
1. Ni raha sana pale unapokuwa unashida ya kifedha mara ghafla unayemdai kwa muda mrefu anakuletea pesa nyumbani
2. Ni raha sana pale unapofanya mtihani mgumu na ukaandika OP na matokeo yakitoka...
mitihani ya kidato cha nne inayo endelea wiki hii jana hali ilikuwa hii baada ya mwanafunzi kudakwa na kibuti...
ticha;hiyo nini?
denti;kwani hujui? haya ni majibu
ticha;simama utoke kwenye...
Kuna kichaa moja alitoroka katka wodi ya vichaa alpofika nje akaingia kwenye kibanda cha cm akapiga mapokezi ya ile hospital akapokea nesi aliyekuwa zamu kichaa akamwambia nesi hebu nenda...
hamjambo wana JF. leo wakati nina login email yangu nimekutana na hiki kisa na mineona vizuri nikishare. naombeni maoni yenu. click on the link
heaven-real-says-neurosurgeon-claims-visited-afterlife
mheshimiwa catherine magige atinga arusha leo kwa ndege ya precision air ya saa 5 asubuhi peke yake akafwatwa na dereva wake kwenye airport ya kimataifa ya kilimanjaro(KIA)
Baada ya kuwamis wana jf kwa siku 31, sasa nimeujua uchungu wa BAN, hasa ikukute kwa kuwatukana bodi ya mikopo ukidhani wanakusikia. Ni kuomba radhi tu kwa sasa, maana body washafunguka na kitu...
Mlevi alianguka toka juu ya gorofa
fasta watu watu wakamfuata kumsaidia
wakamuuliza vipi imekuaje? nlevi akajibu
" SIJUI HATA MIMI NDIO NAFIKA SASA HIVI"
Sina jinsi,kesho naamkia anjun mafia,kuna genge la vinuka mkojo wameamua kuvamia chichat kwa lengo la kuiparanganya,dawa yao ni ndogo,ni kuwapiga albadr,haiwezekani jitu lilale likiamka lije...
After 3 months of unprotected
sex your sweetheart finally
says,"Babe we need to
talk,I've been silent about this
issue because I was afraid of
losing you,babe,the truth is
I'm HIV positive'...
Duh leo hako ka operation kalikuwa mitaa ya huku kwetu...jamaa hawa ni Wataalamu waliobobea kuchana nyavu acha kabisa...na kwa wale walio oana na kuolewa,au wanaopenda kulala wawili wawili,kama...
shikamoo mama yangu Mamndenyi
nakupenda sana mama,lakini mama upamoja na kukuhudumia kila ukipendacho kwakua mwanao nimejaliwa mapesa na mwenyezi mungu,mali na kila kitu kwa leo najiskia nikupe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.