... Mtambuzi ...
ukiwa sio tu kama moja ya kaka na rafiki yangu hapa jamvini bali pia kama
mmoja wa member ambae huwa nafurahia uwepo wake kwa mada mbali mbali na mijadala
ya hapa na pale...
Wakuu wana Chit Chat,jana nilikuja hapa nikitafuta wa kujivinjari naye.
Nashukuru kwa wote walio respond kwa PM.
Nimempata tayari,hivyo PM kwa ajili ya suala hilo zinatosha.
Wasalaam!
Wana JF mimi nafsi nakereka sana na hii zawadi,yes zawadi ni zawadi,but hii ya tsh50 siyo.
Mtu unatuma zaidi ya tsh 800,000 kwa M PESA,mara unapokea sms eti umepewa zawadi ya tsh50 kwa kutuma...
kuna haka katangazo ka dume kondomu mimi kananishangaza vipi mwanaume wa kweli atumie dume wakati na yeye ni dume.sasa dume na dume wanatumianaje wadau.
Kuiga siyo mbaya sana,,
Hasa kuiga kwenye Muviz pamoja na muziki wa kimamtoni yale yaliyo na manufaa,,
Lifestyle za Masista Duu na Mabraza Meni wa kibongo kwa kiasi kikubwa ni muigo kutoka kwa...
niko mwanza,jamani maraha yananiua,msosi wa nguvu kirunba resort,live music villa,mwanza hotel live band wanawake wa ukweli.......yaani mwanza shuruti nirudi!
5 out of 10 ladies in Nairobi carry SEX toys in their handbag
On the negative front, Kenya has again attracted the eye of the international community. And, as usual, Nairobi is taking the lead...
Wana JF,
Nimepita sehemu nikakuta jamaa zangu wanabishana kuwa kuna rafiki yao mmoja nyota yake imechukuliwa na sasa kuna mtu wanamhisi anatembelea nyota ya huyo jamaa hali iliyopelekea maisha ya...
Rais wetu na matangazo ya biashara! Mfano tangazo la vyandarua. Wadau mnalionaje hili! On my side silikubali mkuu wa kaya, Amiri jeshi mkuu wa majeshi yote nchini kushiriki kwenye matangazo ya...
University students waliingia kwenye quiz ya kuongea,two friends ambao walikuwa wakisaidiana walikubaliana aingie mmoja ambaye yuko vizuri kichwani ili akitoka ammezeshe mwenzie.
Kwakuwa muda...
Wana chit chat naomba munielekeze jinsi ya kuweka picha kwenye profile yangu, samahani kama uwanja huu hauusiki ila hata mwenyenyumba huosha vyombo housegirl akisafiri.
,,,,,,,,,,,,,,,,,,, Ni namna tu ya kutaka uwe attention na thread hii,...........Kiukweli nakupenda sana,kukuacha siwezi,wala sitegemei kukuchukia,kukuacha ni wewe tu wa kunipoza moyo wangu,real...
KWA wakazi wa Dar es Salaam, mawingu yanapotanda angani na kutengeneza giza ambalo huashiria mvua, kwao huwa ni jambo la kawaida na pengine ni ahueni kwa karaha za joto kali. Lakini kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.