JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ni kati ya Madame B[/USER] na charminglady[/USER] nani zaidi? KUMBUKA 1. one member one vote 2. mwisho wa kura ni kesho saa tano kamili usiku nawasilisha UPDATES Zawadi imeongezwa mshindi wa...
2 Reactions
176 Replies
7K Views
Wauza sura wengi wanaoremba na ku edit picha kwa photoshop ili waonekane warembo wanapenda fb, hawa wa jf sura ngumu kama jiwe la kusugulia masagamba ,usibabaike na hizo avatar..thank God its...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
nadhani mnashangaa nimepotelea wapi kwa siku za hivi karibuni, kweli tangu nije dar nimekuwa busy sana mpaka nakosa time ya kutinga JF, sio mbaya lakini kwani baada ya kazi uwa najitahidi...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Wadau wikiendi hiyooooo inanyemelea,nawatakia UKIMWI mwema....!!
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Misa ya saa ngapi na ya ngapi? Padre/Mchungaji/Askofu/Mtume na Nabii amefundisha kuhusu nini?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani mwenye taarifa zaidi atujuze, ni tetesi nimezipata kwa mtu wangu wa karibu...
1 Reactions
138 Replies
7K Views
Too bad gfsowin anauguza na Zinduna kaishia wapi sijui namkabidhi hii kazi Madame B naomba unifundie mume kaniudhi kwenye ule uzi wa lofa mmoja anajiita somebody utumbo
0 Reactions
55 Replies
3K Views
Jamaa akitoka geto kwake majira ya asubuhi, chezea clouds wewe? Wamembwaga humo ndani mchizi.
0 Reactions
0 Replies
957 Views
Nimechaguliwa Rural development sijui future yake yaani unakuwa nani na unafanya kazi gani na ktk sector gani nisaidieni
0 Reactions
13 Replies
1K Views
MTANISAMEHE KAMA IMERUDIWA... Mimi nilifikiri Chadema wakorofi bungeni tu kumbe mp[aka hotelini..!! Jana wakati wanakula walianza (Wenje) "mwongozo wa mwenye hoteli, chumvi haitoshi" Mnyika...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ushindi wangu ni wa uchafu kwenye vita ya wasafi kila nnayemuomba tafu anataka afanye na ulafi maisha ni kombolela masikini ndio mlinda kopo cha msingi ni kuunga tela mpaka utoke kwenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi nilivunja rekodi ya kuwa na mwandiko mzuri shule nzima mwaka 2003 ..@ St Justine High school. Na wewe weka rekodi yako.
0 Reactions
51 Replies
3K Views
Funny+ lol Osama Bin Laden himself decided to send George Bush a letter in his own handwriting to let him know that he was stil in the game. Bush opened theletter and it appeared to contain...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mhindi alikamatwa anatoa haja ndogo njiani akatozwa 1000/- yeye akatoa 1500/- akaulizwa why!!? Akajibu:Wakati kojoa iko jamba kidogo
1 Reactions
4 Replies
1K Views
[BOSS TO SECRETARY] Jiandae kesho tuna safari ya kikazi. [SECRETARY TO HUSBAND] Mume wangu kesho nitasafari na boss kikazi. [HUSBAND TO GIRLFRIEND] kesho wife wangu anasafiri,kuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
mambo vipi jamani hivi nikitaka kutizama local channel kama EATV nafanyaje jamani naomba mnisaidie
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mzee karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi, DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu BABA: Hakuna kitu kama hicho DOGO: Kweli baba kuna jini liko kwenye kabati lenu la nguo....Mzee...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hapana mwanaume hasifiwi kwa sura bali husifiwa kwa kazi na kuingia benki kudraw au kudeposit
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Girl : why do you keep on following me ? Boy : because you are so pretty and i think i am falling in love with you. Girl : really ?...... but you haven't met my friend yet. she is more...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Ni mwezi sasa nikiwa Lupango,Isanga jana nimerudi nimepgwa butwaa my wife ana kilambo cha udongo wa pemba,limao za kutosha.chini ya Meza kuna kifuu cha kutemea mate.. Hiyo kitu sijui ni yangu...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Back
Top Bottom