Nakosa hata pa kuanzia kutoa kilio changu toka kwenye mtima wange....
Naamini isingekuwa kuwa wewe sweetlady kunirubuni leo ningekuwa na furaha
Isingekuwa wewe kuja kunitongoza kwa maneno matamu...
Jamaa alikuwa ameshika document anazisoma akiwa na mkewe kitandani mara akaanza kucheka sana!!!!!!!! mke akaamua kumuuliza mbona una cheka sana nini kimekufurahisha jamaa akamjibu nimefurahishwa...
Wanabodi,
Napenda kutoa pongezi kwa wanafamilia wa Chit-Chat kwa kuonyeshana mapenzi makubwa na kuwa wamoja inapendeza sana...Copy kwa King Kong III, Asprin, Madame B...
wasalamu
Baada ya vuta nkuvute za uchaguzi wa miss chitchat katika ngazi ya Nusu fainaly yafutao ni matokeo:-
GROUP A
1. Cute Kura = 4
2. Madame B kura = 23
3. nivea kura = 2
4. Preta kura...
huyu ni Tyra Banks......mweeeeee............
halafu mtu aniambie nisijipake......inahuuu.......
copy kwa : lara 1.. cacico... charminglady... sweetlady... Kongosho.. CUTE...
Nilipewa mwaliko wa VIP......Nilikuwa nazunguka zunguka jana viwanjani (Tshirt ya mistari na nimevaa ID shingoni)....
watoto wadogo wa kike may be age from 13 walikuwa wengi sana....
Wana Jf...
Guy: "Between Me and the
Toilet, Whom do you Love
Most?"
Girl: "Obvious its you,
why do you ask such a Stupid Question??"
.
.
.
.
. .
.
Guy: "Because you drop Your pants soo fast For...
Hello Chit-chatters..
Napenda ku-share japo kwa kifupi sana siku ya kwanza kulia kwa furaha..
Kitambo nilipokua fomu tuu kuna binti nilimpenda sana na nikawa namtengenezea mazingira takriban...
Hakuna kitu kizuri kwenye hili jukwaa la jokes/utani + udaku/Gossips kama watu ku-comment thread yako. Ukiwa kama ndugu/jamaa/rafiki/mdau wangu wa karibu, naomba uko-comment chochote kile ili...
Natoa zawadi kwa wanaJF wote kwa kunipokea!
Hii ni namba ya vocha y shiling el-...........mmmh csemi. Ingiza namba hzi ujaribu bahati yko ctaji ni mtandao gn.
*104*34666425436.......#...
Mi sio Mdau Kiviiile wa JF ni vile tu nna Interest kadhaa humu hata ni kaactivate ID
Sasa katika Forums Zote lakini hii Forum yenu Kiboko ...huweZ ku intervEne kwenye topic nyingi coz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.