JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Zuzu mmoja alikuwa anaumwa sana,akaamua kueka picha ya daktari kwa ukuta wa chumba chake. Ghafla akatembelewa na marafiki zake,walipoona picha ukutani wakamuuliza,"Hio picha ukutani ni ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Afisa mkaguzi wa misuti alizuiliwa kuingia kwenye msitu mmoja alioenda kukaguwa. Mlinzi akamwambia "time hizi haturuhusu watu kuingia msituni". Jama akamtolea kitambulisho na kumfokea "Wee...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kila mtu eti na BB, why? why?
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Kuna jamaa mmoja alimtia mimba mwanafunzi na maongezi yao yakawa hivi MWANAFUNZI:Mimba sitaitoa Dear wangu............. na usijali kuhusu nyumbani kwetu na familia yetu poa tu JAMAA:Kwani wazazi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwenda kwa: Bill Gates, Microsoft Kutoka kwa: Zuzu, Tanzania Tarehe: 1 Oktoba 2012 Yahusu: Matatizo kwenye kompyuta yetu mpya. Ndugu Bill Gates, Anko wangu amenunua kompyuta mpya kwa ajili ya...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Watu 3 walipangisha hotel ya gholofa sitini na walipata vyumba gholofa ya mwisho walipanda kwa lift na asubuhi wakashuka na lift jioni walipotoka kwenye mihangaiko yao walikuta umeme umekatika...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nasikiliza hapa redio ya wafu,, Daaah uyu dj wa uyu msanii anaojiwa kasema kaambiwa akija apa lazma arudi na tanzanite rock.. Hehehe njoo ujichimbie,,ni wewe tu na kijiko chako
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Awe makini na vijana watakao mshobokea, yasije mkuta kama 50 cent au mwanamuziki mwingine yalimkuta Kenya, jamaa aliishia kusema f..aki! Ila wajanja wa mjini wameshasepa na cheni ya dhahabu.
0 Reactions
5 Replies
940 Views
Hehehe pale ndani ya new africa casino! Branch ya ladbrokes nawasalimu wale mangulii wakuhudhuria pale. .
0 Reactions
12 Replies
1K Views
M2 mmoja alimuomba mganga amfundishe kutabiri mambo. Mganga akamwambia vua suruari kisha akaanza kumpaka mafuta matakoni .yule m2 akamuuliza mganga unataka unifi.....? mgan ga akamjibu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna wageni wanaotarajia kuwasili hivi karibuni na hii ndio orodha yao David Kinembe ............................................... Kenya James Kakumah...
0 Reactions
5 Replies
20K Views
Mchaga kaopoa Mtoto wa pwani, kufika guest Mtoto kavua Nguo shanga kibao kiunoni MCHAGA : kibo ndeshafoo Yesu na maria hizi Rozari zote zimeibiwa parokia gani?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mm Nilifikiri Chadema Wakorofi Bungeni tu, Kumbe Mpaka Hotelini.!! Jana wakati wanakula walianza (Wenje) Mwongozo wa Mwenye Hotel, chumvi haitoshi. Mnyika: Taarifa Mheshimiwa., Mchuzi...
0 Reactions
5 Replies
997 Views
Baba;kwani kwa jirani leo kuna nin?Mama;sijui kuna Birthday!Baba;Amezaliwa nani??Mama;sijui TUYU!Baba;TUYU ndo nan?Mama;Hata mimi simjui ila nasikia wana piga kelele alafu wanasema "HAPPY birthday...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
How to take care of your wife: In the world, one single rule applies to the men: Make the Woman happy. Do something she likes, and you get points. Do something she dislikes and points are...
1 Reactions
0 Replies
844 Views
Mke alipanga na mpenzi wake kwenda guest house fulani kuvunja amri ya sita. Walipofika reception wakati wanasubiri chumba kitayarishwe, mume wa yule mwanamke akatoka na mpenzi wake katika chumba...
0 Reactions
5 Replies
944 Views
... najua mhalifu lazima atakuwa mtalaka wake (tena wa zamani) Bishanga. Kesho naua mtu jamani Katavi nishikilie naua kesho, labda Kongosho arudi sasa hivi!
1 Reactions
25 Replies
2K Views
taja timu unayoishabikia hapo.
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Hivi nywele kule kichwani mwake ni style ya kunyoa amemuiga ronaldo de lima au alipata tatizo.
0 Reactions
34 Replies
10K Views
niPM,ukitaja jina lako halisi,jinsia,wajihi,elimu,your sexual preferences,fantasy zako,marriage status,akaunti namba yako,namba yako ya simu,jina la sheha wako,kinywaji ukipendacho na ueleze kama...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom