JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Leo ni siku ya wanyama duniani, hapa nchini Tanzania maadhimisho yake yalianza jana hapo Taifa kwa MNYAMA kushikwa sharubu...almanusura achinjwe!
2 Reactions
11 Replies
1K Views
wanajamvi najua humu tuna wataalamu wa aina mbalimbali, naombeni msaada wa namna ya kuweza kudownload picha za still, video na miziki kwenye mtandao kwa kutumia laptop au simu. asanteni sana.
0 Reactions
4 Replies
845 Views
binafsi napenda sana kuwaheshimu hawa wasaidizi wa ndani maana ndo wanaobeba majukumu yote ya familia kuanzia asubuhi hadi usiku,kiusalama na kila kitu ndani na nje ya familia.nilichokiona leo...
1 Reactions
24 Replies
8K Views
Kuna gazeti nimesoma yani nimeishia kucheka tu, lakini ni vinatokea kwenye jamii yetu, ni kuhusu watu waendavyo misibani, mana watu wanaenda kuonyeshana nguo, magari ya kifahari, mitindo ya nywele...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Tujaribu ku-create story fupi,unaendeleza kutunga story fupi kwa kureply pale mwenzako alipoishia,na umwachie mwingine aendelee (kupokezana),unaweza kuandika mstari mmoja,miwili au hata tatu...
5 Reactions
47 Replies
4K Views
Wataje...
2 Reactions
199 Replies
11K Views
Ni kuhusu charminglady ,Yaani nimejaribu kujizuia ili nimsahau imeshindikana. Bado nampenda,ntaendelea kumpenda.Anaye weza kunisaidia kumpata huyu mdada natangaza donge nono.
0 Reactions
3 Replies
797 Views
jamani huu ni uchwawi au?
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kuna tetesi zinasikika mjini kuwa kila mara viongozi wa kitaifa wanapo kuwa ziara mahali,basi huandaliwa vimwana kwa ajili ya kuwaliwaza. Je,tetesi hizi zina ukweli kiasi gani?
0 Reactions
20 Replies
2K Views
If your phone number ends wit 0- u are a trouble maker 1- u are very kind 2- u are very funny 3- u are intelliGent 4- u are sincere 5- u are careless 6- u are neat 7- u are handsome/...
0 Reactions
43 Replies
3K Views
Nauliza hivi..hivi wadau woote wa haka kajukwaa,kama imewezekana kwenye magari kupata 'plate number' ambazo zinaonyesha majina ya watu,je siwezi kupata price ya kuweka "tag" ninaitaka mimi....kwa...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Jamaa flani alikuwa akisafiri kwa taxi,akapita kwenye bar mmoja yenye geust house akamuona mke wake akiingia ndani ya hiyo bar. JAMAA:"Dereva hebu simamisha gari....unataka elfu moja ya chapchap?"...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Eti mkubwa wetu ameoa mtoto wa zakhia meghi?
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Leo naenda hospitali kupima miwaya.Sina jinsi kuna mtu nimekuwa nikimpiga chenga mwisho kanambia ama nipime au mi na yeye basi.Jaaaaaasho linantoka ndo najiandaa kwenda TMJ hospital,mkiona...
7 Reactions
110 Replies
6K Views
Katika vitu vimenihuzunisha ama sijui niseme vimeniskitisha! Whatever ni pale nilipokutana na Babu kwenye Sredi iliyoletwa hapa jamvi jana, yenye headin "Yanga Vs Simba". Katika kuchangia kwetu...
0 Reactions
2 Replies
937 Views
Mwenzio nimeliona jina langu, nawe clickHAPA uone jina lako kama limo. Itakuwa poa kama ukituambia umeelekea wapi.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ninapokuwa safarini nachukia sana: 1.kukaa na mtu anayenuka kikwapa 2.mtu anayejamba jamba hovyo 3......... 4....... We hupendi nini?
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Mwalimu: Nane kugawanya kwa mbili ni ngapi? Mwanafunzi: Ni sifuri. Maana nane (8) imeunganishwa na sifuri mbili. Mwalimu: kaa chini Mwanafuzi: ngoja nijaribu tena. Ni tatu (3) maana ukiweka...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Jamaa mmoja alimfuatilia Mrembo fulani kwa muda mrefu sana na maranyingi akawa anamuomba wafanye mtoko japo mara moja ili waweze kuongea kwa faragha. Kwa bahati mbaya yule mrembo akamwambia Jamaa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hallo mpendwa ! Uko wapi sasa, hujanitembelea, hujapiga simu, hujatuma sms, hujanibp napata hofu sasa au upo tena Jela ? Nijibu nipate afueni !!!
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Back
Top Bottom