Hakika hakuna jukwaa lenye burudani kama hili, kutoka moyoni najivunia kuwa sehemu ya jukwaa hili! Baada ya dibaji hiyo sasa ladies & gentlemen bila kutaja jina wala ubaguzi wa majukwaa PIA MODS...
Wakuu,
Kuna kijana mmoja huko Mufindi aliulizwa siku yake ya kuzaliwa.
Yeye alijibu kuwa juzi alikuwa na miaka 25 na mwaka kesho atakuwa na miaka 28.
Swali
Je huyo kijana alizaliwa tarehe...
Umofia kwenu wana Chitchat!!
Kuna hii minguo ya kina dada ina mistari mistari kama ya pundamilia zipo rangi tofauti tofauti zipo kama dera yani kila kona lazima kati ya madada 10,7 wametinga hayo...
Hatimaye Mshindi wa Chitchat mwezi october amepatikana naye si mwingine ni Miss Madame B
Washindi wote wamepewa zawadi zao na tunaomba wadhibitishe kama wamepewa zawadi zao kupitia thread...
Mtalii mmoja alishuka airport akakodi taxi, ......... wakiwa njiani kelekea mjini dereva wa taxi akajamba shuzi kali muda kidogo dereva taxi akamuuliza mtalii ...unaionaje hali ya hewa? ... Mtalii...
Jamani hodi hodi..? Leo napenda mnieleweshe kwani Usomaji wa Majira ya Saa kwa ki inglish uko hivi..
Saa 1:00 asubuh
English ni 7 :00 am
Saa 2:00 Asbh
Englsh ni 8:00 am
Huu ukaririshwaji...
Heshima kwenu wadau,
Nipo safarini kwenye dala dala naenda kumcheki mwana Tandika..
Mbele ya dala dala kwa ndani kuna bonge la tangazo " ukisinzia tunakusachi" na kumcheki huyo konda...
Leo kanisani ibada inaendelea, muda wa sadaka kapu linapishwa kila mtu akatoa sadaka, ila jamaa mmoja alipokea kapu akampa mtu wa mbele yake bila kutoa, mzee wa kanisa kamuuliza vipi we mbona...
Mwanasheria mmoja alienda porini kuwinda, akampiga swala risasi lakini swala akakimbia na kuingia katika kibanda cha mzee mmoja...
Mwanasheria: "Mzee kuna swala wangu kaingia kibandani kwako...
eti jamani Hawa na Adam wasingezaliwa waarabu,wangezaliwa wachina si wangemla yule nyoka badala ya kulila lile tunda? na leo tungekuwa na maisha tofauti na haya!
Wana chitchat wenzangu naomba kura zenu kwa mrembo @charminglady katika kinyanganyiro cha miss chichat october
Nenda kapige kura kwenye thread ya kupigia kura iliyo anzishwa na Lundenga wa CC...
Hello Kottler Masoko,
We at JamiiForums would like to wish you a happy birthday today!
It's a special day in your life and NOT just a year older, but a year better!
Wishing you all the great...
Natumia nafasi hii kumpongeza Madame B kuwa miss chit chat. kama nlivyo sema mwanzo. Huyu binti alistahili kushinda hili taji.
Wale ambao kura hazikutosha msiumie sana kwani mwezi ujao huwezi...
Ukijiona MJANJA kwa kuanza kupendwa jua kuna FALLA katendwa.....
Na ukiona unaanza kutendwa jua kuna MJANJA kapatikana.
which means wewe ni FALLA
Don't worry just a love cycle
HOW SMART ARE YOU?
Sherlock Holmes was having an early walk. He had just crossed a bridge when he saw a crowd of people. Rushing to them, he found that they were crowding around a dead woman...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.