JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nikiwa mwandaaji wa mashindano ya miss chitchat,nimekabiziwa zawadi maaalum toka kwa miss chitchat sept miss Remmy niiwakilishe kwa wana Chichat ikiwa ni sehemu ya majukumu ya utekelezaji wa...
1 Reactions
5 Replies
966 Views
Jamani katika vitu ambavyo leo au kipindi hiki ninawaomba sana wa chitchat wenzangu ni hili swara la kura ya miss chitchat.ninawaomba kwa heshima na taadhima upige kura yako kwa charminglady...
0 Reactions
1 Replies
862 Views
Ninaomba kura kwa niaba only VOTE for
0 Reactions
5 Replies
859 Views
..mitamu sana.. ..watu wanajaa sana sijui ndio mihogo ya Jangombe ama...? Nani nimpe offa ...humu wana Chit Chat
0 Reactions
38 Replies
8K Views
Hellow dear.unajua nilipokuona kwa mara yakwanza nili vibrate kama nokia ya tochi.naomba unipe ushirikiano nataka ni install penzi langu ktk hard disk ya cpu yako.nimekuwa mvumilivu kwako kama...
1 Reactions
53 Replies
6K Views
Mu-hali gani wana chitchat. binafsi niko salama salimini. hivi ushawahi kutapeliwa? mie nshawahi tapeliwa sh. 400/= kwenye vile vibahatinasibu vya mchezo wa viberiti vitatu. wanachanganya then...
0 Reactions
57 Replies
4K Views
habari za leo?mimi mwenzenu nimefiwa na bibi yangu mpendwa usiku wa kuamkia leo
0 Reactions
51 Replies
3K Views
Mara network search, sijui eti network connected near ileje, system search near tunduma...failed to load near tukuyu, near near near near acheni ushamba nyie
1 Reactions
25 Replies
4K Views
hii nimeiona baada ya kuona thread kadhaa za ki-MMu zikiwa CC na pia MMU wengi ndio hao hao CC proof hii hapa https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/241674-jf-couples-new-version.html...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Heheheiyaaa, maisha plus ndo hiyoo inaanza. kuna vituko, vimbwanga na vichekesho vimesheni. 1. kuna dada mmoja kaulizwa we kabila gani akajibu ye muislam 2. mwingine kaulizwa ana miaka mingapi...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Tajiri mmoja wa Hongkong ametangaza dau la dola milioni 64 kwa mwanamume atakayemuoa binti yake ambaye ni msa.gaji (lesbian) Utajitolea? Kwa habari zaidi: Bonyeza kizenji hapa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ila simkumbuki vizuri jamani, anamfaham amtaje basi... Asubuh njema wana Jf wote
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Ni tetesi au habari zipi unazokumbuka ambazo zilivuma sana enzi hizo lakini hazikutokea. Mfano: W 1.Mwisho wa dunia ni mwaka 2000 2.Hairuhiswi kwenda posta na kandambili, endelea na wewe hapo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Napita hapa kwa profile yangu ya JF (huwa ni utaratibu wangu kila mwisho wa wiki) naona warembo wengi walipita kunitazama, sijui pozi langu ndo limewakosha? Ila hawa mabibi hawaachi lolote la...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Wakuu, Naombeni kwa furaha tugongeane cheeeers kwa ku reply kwenye hii thread kwa kujibu" Pawaaaaaaaaaaaaaaaaa" Thats only...
6 Reactions
85 Replies
6K Views
Wapendwa nimewakumbuka sana na nimeona walau niwasalimu kwa pamoja coz mmekuwa adimu sana jukwaani. Kwanza naomba sweetlady , BAGAH beibe nasty cacico popote mlipo mpokee salamu zangu za pekee Pia...
22 Reactions
335 Replies
15K Views
Nimeamini raha ya upendo ikipotea huwa karaha! Sikutaraji kama leo hii nitabaki na jeraha! My number one fun tatizo ni wewe umefanya anitose! Wakati bado nampenda nafsi imejaa upendo wake...
14 Reactions
422 Replies
19K Views
hivi asubuh mi nikiamka nafikiriaga pesa kama kitu ya kwanza,, nanyi wenzangu mwawazaga nini?
0 Reactions
8 Replies
950 Views
kuna kitu kinanitatiza sana mashoga wana mtihani mkubwa sana,wanapo pelekwa gerezani kwa makosa ya jinai huwa wanawekwa maabusu ya kike au ya kiume?maana akiwekwa mahabusu ya kiume itakuwa kama...
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Movie inaitwa SAFE Imechezwa na Jason Statham na kibinti kidogo cha kichina chenye uwezo mkubwa wa mahesabu na kumbukumbu. Ni action movie na kama kawaida ya Jason ni yule yule kama alivyo kwenye...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom