JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Salaam Wana JF nikianza kwa vyeo vyenu: new members, members, jf experts, na wale ma Platinum members ambapo jf nzima tupo Mimi LABAN og na Mshana Jr Back to the topic Baada ya kufanya utafiti...
10 Reactions
87 Replies
5K Views
Naona kodi mtakuwa mnalipa kwa kutumia vyeti pamoja na report cards au sio?!....kwanza speaking of kodi, kuna michongo gani short term ambazo zinaweza kuboost balance ya mpunga kidogo? Mkataba...
2 Reactions
1 Replies
272 Views
Nimeona Chizi Maarifa ni mchawi wakujitolea huyu mtu alikuwa ananipondea humu ila baada ya kusikia ni muharibifu nakuomba popote ulipo ninakazi kubwa naomba msaada wa uharibifu nipo serious
3 Reactions
62 Replies
2K Views
Dah nimekaa tu nimejikuta nime pamisi kidimbwi mlioenda karibuni huko kukoje? Naogopa nisije pata ajari tena kuna faa kwendeka au ndio tutafute kiwanja kingine?
2 Reactions
4 Replies
379 Views
Shalom...! Nimeskia story nyingi sana kuwa, Matiti yanapokuwa madogo wakati Binti akiwa under Eighteen hivi ni kweli kuwa hayo Matiti yakishikwa Shikwa yanakuwa Makubwa tofauti na mwanzo au ni...
2 Reactions
50 Replies
3K Views
Hebu tuambiane ni tabia Gani ambazo watu wa Dar ambazo wanazo ukizifanya mikoani watakuona mshamba
1 Reactions
10 Replies
583 Views
Hi Ukitaka kujua watu wafupi wana hasira tegea siku anasoma tangazo la kazi halafu anasifa zote za hiyo kazi iliyo tangazwa lakini mwisho wa lile tangazo wakasema lazima awe mrefu. Utaona...
2 Reactions
15 Replies
774 Views
Karibuni chunya Makongolosi, sehemu ambayo watu hujiachia masaa 24 Kila Kona baa na vilabu vya pombe asili. Ukiwa unavuka barabara jishikilie maana bodaboda wa huku hakuna kufuata sheria. Duu...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Mention mwanachama mwenzako humu JamiiForums. Hata kama alitoa comment mwaka gani. EITHER Umkute ametoa comment kwenye thread humu JF huwezi kumuacha kumpa LIKE [emoji1417]. Ni LIKE. LINDA...
7 Reactions
55 Replies
1K Views
Maisha lazima yaendelee..Corona tutaishi nayo tuu. Meme Lords tukutane hapa tuchangamshe jukwaa Tupia ya kwako. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Hivi Dar es salam ni mkoa kama vile Kigoma, Mwanza, Dodoma na mikoa mingine Au ni city tu kama vile Kasulu, Kilimanjaro na Cities zingine Kuhuliza sio ujinga nataka nijue
1 Reactions
9 Replies
649 Views
Niende kwenye swali langi, hivi nini kinazungumziwa zaidi duniani kati ya mapenzi au pesa
1 Reactions
10 Replies
445 Views
Kupanga chumba au kukodi chumba sehemu ni kawaida Sana kwa wapambanaji wa hapa na pale. Katika vyumba hivi Kuna vihoja au Mambo Fulani hivi yakukera au kufurahisha, embu nianze na haya yafuatayo...
1 Reactions
10 Replies
886 Views
Nimepamiss sana dar niliwahi kuishi miaka 7 pale napenda sana kuishi external maji chumvi kipande kile nakikubali sana kwa Me naamini dar ndo njiapanda ya mafanikio mnaoishi dar mna enjoy sana.je...
6 Reactions
12 Replies
475 Views
Je pindi upatapo hela kipi ni kipaumbele cha muhimu. Kununua gari? Kununua kiwanja? Kuoa/kuolewa? Kusaidia ndugu? Kumwagilia moyo?
0 Reactions
12 Replies
433 Views
Wakuu. Nipende kuuliza swali tu. Hivi kwa hili jua linalosababisha Joto mapenzi yanafanyika kweli ?
1 Reactions
12 Replies
521 Views
Swali la kwanza(marks 40) Jinsi ya kumwingiza simba ndani ya friji. Fungua friji halafu msukume ndani na ufunge mlango wa friji. Jinsi ya kumwingiza twiga ndani ya friji. Fungua friji na umtoe...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Ulitumia masaa mangapi na muda ngani kumfuata mpenzi wako? Mwishowe ukaambulia Zero?
0 Reactions
4 Replies
293 Views
Habari za jumapili wanaJF, Kwanza namshukuru mwenyezi Mungu kwa pumzi aliyotupatia mpaka tumefika mwisho wa mwaka kwa neema yake pia tutauona mwaka mpya. Kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa yote...
3 Reactions
55 Replies
3K Views
jamanii hivi napataje ela bila kufanya kazi ? kama kuna kuna njia mnipange na mimi nitusue
6 Reactions
33 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…