JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jamaa mmoja alikuwa anavuta bangi,sasa kwa bahati mbaya msokoto ukazima.alikuwa na njiti 3 za kiberiti tu zimebaki. akijaribu kuziwasha, 1 na 2 havikuwaka.bahati nzuri cha 3 kikawaka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Fisadi mmoja katili sana alikuwa kamuajiri mhasibu bubu, kiziwi. Alifanya hivyo ili kulinda siri za mapato yake. Siku moja akagundua kuwa kuna kama shilingi milioni mia moja zimeibiwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salam Nipo kwenye basi, naenga home likizo (Ushongo, Tanga) Naenda kumuona Anti yangu AshaDii karudi Nyumbani Sasa hapa next to me kuna dada fulani, msafiii, mzuriii Ana Samsung Galaxy III...
6 Reactions
90 Replies
7K Views
Hii sasa kama unafuga Mbwa basi ujue ndio Lishaanza kuwa Koko
1 Reactions
4 Replies
3K Views
A 50-something year old white woman arrived at her seat and saw that the passenger next to her was a black man. Visibly furious, she called the air hostess. 'What's the problem, ma?' the...
0 Reactions
0 Replies
887 Views
TOA KITAMBI!!!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ng'ombe akutwa juu ya paa lanyumba mitaa ya kati...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
I Hope wapenzi wote wa chit chat mko poa salamu kwa wote nawapenda sana!
5 Reactions
46 Replies
3K Views
Wakuu, nimepata dharura. Naelekea kumsalimia mdogo wangu huko marekani. Kahalika naenda na mpwa wangu ambaye anaedna moja kwa moja. Naombeni kuwauliza bei ya Ticketi kutoka Dar hadi NY au Kutoka...
0 Reactions
2 Replies
851 Views
Mama Johnie ana watoto watatu, 1. June. 2. July watatu ataitwa nani?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mhaya aliingia baa akaanza kuagiza vinywaji huku akiwa nasimu ya nne! Akaagiza heineken baridi. Wee mudada hebu kuja hapa, leta ile bia yawazee! Leta Heineken baridi kwa kweli! Mara simu ikaita...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
muhindi alichuchumaa akaeka kioo chini akiwa anajiswafi M***duni akitumia kiwembe ghafla sii mzee akasimama duh akawa anamkata stimu akaifokea wewe acha bhana ninyi iko dugu moja!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
bibi alikua anafua nguo za mtoto ake aliekufa na ukimwi xa katika kufua akakutana na BIKINI bibi akahamaki akasema duu! huu ugonjwa mbaya xana unakondesha hadi CHUPI!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu huwa najiuliza .kama duniani wanaume tungekuwa peke yetu maisha yangekuwaje .alieshauri fedha itumike katika kupata huduma na bidhaa alifikiria nini .kwa nini almost races zote ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nisivyowahi 1. I've never broken a bone 2. I've never been in relation of same...
0 Reactions
112 Replies
6K Views
Hahahahahaaaaaaa, daaaaaaah, kwanza nicheke kwanza.... Duuuh!!!! Nimeisoma barua hii kwenye gazeti moja jamaa anaomba ushauri, kaandika hivi; Shangazi May, Tafadhali nipe ushauri katika...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Sharo alikuwa ndo kwaaaaaaanza kafanikiwa kupata mkoko wake mpya baada ya kutoa visingle vyake viwili witatu, akawa na hamu kweli aende nalo Leaders akawakoge masister duuuh nini... Wakati...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
mtaani kwe2 kuna mgahawa hatari xana.. Wanauza maandazi ya kuchemsha,juice ya kabichi.. Afu nje kuna bonge la ujumbe..SHKAMOO KELELE ,HESHIMA PESA
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Siku moja baba na mama na watoto wao wawili (kike na kiume) wakiwa kwenye chakula cha jioni, baba na mama wanabishana kuhusu nani kati yao ni muoga. Ndipo baba akaamua kuwashirikisha watoto ktk...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom