Kuna shoga mmoja siku moja alienda disko mara ukapigwa ule wimbo wa Msondo Ngoma.....''WANAUME TUMEUMBWA MATESOO KUHANGAIKA''.....akajisemea ''Mimi nilijua tu ndio maana nikajitoa mapema''
* JESUS has 5 letters, but so does SATAN
* HATE has 4 letters, but so does LOVE.
* ENEMIES has 7, but so does FRIENDS.
* LYING has 5, but so does TRUTH.
* HURT has 4, but so does HEAL.
*...
Mzee mmoja bahili karudi nyumbani kwake akaanza kuwatembezea watoto wake bakora, watoto kuuliza kwa nini mzee anawachapa bakora? mzee akawajibu mna matumizi mabovu nyinyi mpo watatu mnawasha fan...
"MSICHANA WA MIAKA 18 MWENYE CHAT ID 519168 AMEPENDA PROFILE YAKO NA ANGEPENDA KUONGEA NA WEWE. ILI KUONGEA NAE PIGA 0901901901" asee nyie TIGO bana acheni mambo yenu kuntumia hizi meseji zenu...
Wapendwa wana Chit-Chat wote, bila kujali mitazamo na mapenzi ya watu, nimeamua kutangaza VITA rasmi na kiumbe mmoja anaejiita Bishanga kwa sababu maalumu na naomba wapenzi wake mnielewe na...
MUME: kuna tangazo limetoka kila mtu mwenye watoto kumi
atapata zawadi ya gari na nyumba
MKE: Lakini sisi tuna watoto 8?
MUME: Samahani mke wangu..nina watoto wawili wa nje
naenda kuwachukua...
Wafufuatao mnaomba kufika kwa KakaKiiza kabla ya saa tisa jioni naninaomba ambao sijawa taja tusubiri EID Pili!Asanteni Invisible PakaJimmy mtu chake Rutashubanyuma Erickb52 Kongosho BADILI TABIA...
Mzee mmoja alipata fununu kuwa mke wake mbabe anazini na jamaa mmoja hapo kijijini kwao.
Basi akamua kufanya mtego wa kisafari. Alimuanga mkewe asubuhi na mapema kwamba
anakwenda safari kijiji...
Siku moja usiku jamaa mmoja na mkewe wakati wakiwa ndani wamepumzika walisikia nyumbani kwa jirani yao wanaimba wimbo na maongezi yao yakaanza kama ifuatavyo;
Mke:Mme wangu,kuna nini kwa majirani...
1. Kijiko ulichotumia kula chakula kimelambwa na mbwa aliyetoka kula konokono muda si mrefu...
2. Upo nyumbani na mkweo, ghafla ukiwa umetoka bafu la uwani kuoga mwanao mdogo anakufuata kwa...
Katika hali ya kushangaza mtaalamu wa JF Invisible amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya soma kusuduio la kupelekewa walanti wakukamatwa na kupelekwa The Hague (ilipo mahakama ya uhalifu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.