Kwa yeyote mwana-CHIT CHAT anayeguswa na matatizo ya watu na mwenye moyo wa huruma tafadhali seriously leo Ijumaa mwenzenu nimekwama nina matatizo..................naomba msaada wa fedha kiasi...
Najua umenisahau. Naitwa Andekelile
Lupakisyo Ambindwile Mwambalakata
mtoto wa Afwelile Ambwene Mwakisujeje
Mwakasokela anko yake na Asangalwisye
Mwalunyasyo rafiki wa Bakangana Bukenja...
Jamaa wawili walikutana kwenye kituo cha basi wakafanya mazungumzo. Mmoja
aling'ang'nia kuzungumzia kero za familia yake hatimaye mwenzake akasema "
Unadhani familia yako ina matatizo?"
Basi...
Mr. Grey wa walking with Mr. Green and Mr. Brown. One wore a grey tie and one wore a brown tie.
"Do u realise, gentlemen, that although our ties have colours that match our names, but no one of us...
Kuna mume na mke walikuwa wamelala pamoja usingizi mara mkewe akashtuka usingizini na kusema mume huyo anagonga mlangoni, mume kusikia hivyo akakurupuka na kuruka kupitia dirishani na kutokomea...
za asubuhi wanachitchat kwakweli iman yangu imeniponya maombi mliopiga bas ndo yamenifanya leo niweze amka mapema na mwenye afya tele napenda kuwashukuru sana kwa mapenz yenu kwangu hasa my shem...
'Panya watatu wabishana
nani bigwa; wakwanza adai
mimi maisha yangu yote
nimeishi kuiba store lakini
cja wahi kushikwa,wapili
adai wacha hiyo mimi nimekunywa sumu mara
kadhaa na cja kufa,wa...
Mwl: We JUMA unacheka nini?
JUMA: nimeona paja lako mwl!
Mwl: Huna adabu toka na usirudi hadi kesho.
Mwl: Na we ALLY vipi?
ALLY: Nimeona kamba ya bikini yako.
Mwl: Shenzi, toka na usirudi...
Baba mmoja alikuwa na mtoto wake wa kiume akawa anataka kumlea ktk maadili mema ili asifuate ya dunia.
Siku moja mtoto alikuwa akicheza na wenzake, mara wakakorofishana mwenzake akamtukana...
hahahaha,
" una maswali mengi kwani wewe ni polis?! " --Ameimba DNA wa KENYA
hii mistari ya mwimbo huo huwa inanifurahisha sana, kila nikiisikia huwa inanichekesha!
mistari ya nyimbo gani na wewe...
Dada mmoja alipata matatizo wakati alipokuwa anakojoa na akawa anaona mambo mageni ikabidi aende kwa daktari na mazungumzo yalikuwa hivi:
DADA:Daktari mi nikikojoa mkojo ukimalizikia uwa na...
Kuna mama mmoja alienda supermarket kununua mafuta ya mtoto wake mdogo
Mama:Niuzie mafuta ya kumpaka mtoto
Muuzaji:Baadhi ya akina mama hununua mafuta ya watoto na kwenda kupaka wao,kamlete mtoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.