JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
:A S cry:Wanajamii, hebu angalieni habari hii ambayo nimeinukuu word by word. KIJANA MMOJA AKIWA MASOMONI INDIA ALIMPIGIA SIMU MAMA YAKE AKAMPA TAARIFA KUWA VIPIMO VIMEONYESHA ANA UKIMWI (HIV...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Gari yangu ina matatizo gani inapanda kitonga yote bila tatizo ila kushuka ndo isue haishuki kbs..Gea haziingii,inakuwa haina nguvu. Gari yangu ni mgongo wa chura
0 Reactions
5 Replies
1K Views
BOOM:yawn: LINAKARIBIA SO BE CAREFUL ON HOW TO USE IT.LA SIVYO UTA SUFFER. KAMA KUNA MAWAZO MENGINE WEKA HAPAAA. BOOM LINAANZA 10/9/2012 jiandae kupokea BOOM
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Sasa umbea ni mtamu hasa unaposikia jamaa anatoa umbea wa mwenzio. ukisikia wewe ulikuwa unapigiwa umbea na mtu mwingine unachukia kwa nini. Sasa dawa imepatikana, kila mmbea ataota nundu. Just...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Imagine ile video camera aliyekuwa nayo Marehemu ingepatikana, ichezwe tusikie maneno na vurugu za vipigo wakati ameshikiliwa na mapolisi! Ukiwa na ile kamera pamoja na picha tulizokwisha ziona...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Nawatakia Ijumaa Njema wandugu. Msinywe sana. Leo naanza na ka sminoff ICe. nimevipenda sana.
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Mdada ambae ni jirani yangu , jana usiku mida ya saa 4 hivi , mimi nikiwa nimekaa nje ya nyumba kibarazani , nae alikua amekaa nje kibarazani kwao. Distance iliopo baina ya vibaraza vyetu...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Fuatilia mtiririko huu wa habari picha
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Weka kimoja tu ambacho unakikosa sana..
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nipo na dada yangu hapa, ametoka kujifungua mtoto wa kiume tofati na matarajio yake. Sasa machungu yake amejikuta akisema "hii serikali ya ccm hovyo kweli yaani sijapata wa kike halafu mawazili...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
huyu ni Hawa mwenye sifaa zote nimejitahidi samwaka jana alikubali,chakushangaza baadae aliingia mitini Majuzi kaja tena kwa kasi mie nshaondoa fikra ila anaomba sana nimwelewe Hawa huyu sijui...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
SIKU NJEMA YENYE MAFANIKIO TELE! Start the work in the name of God... Do the work with the help of God... Finish the work with thanks to God... because he decides, gives, and makes everything possible
2 Reactions
4 Replies
929 Views
ooh sorry.. This is Cocastic or Pepsistic Samahani kwa usumbufu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mhindi baada ya kutoka kazini Kamkuta Mfanyakazi wake akifanya kazi: Mhindi:-Juma! iko wewe fanya nini hapo??? Juma:-Namwagilia maji maua bosi Mhindi:-Safi sanah, cheka kidogo! (Mhindi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
NMB, mwisho wa mwezi. Ubungo bus terminal, mwisho wa mwaka. Polisi, wakati wa maandamanano ya cdm. Magogoni, wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu. Mjengoni, kukiibuliwa hoja inayowabana...
0 Reactions
7 Replies
967 Views
Heshima kwenu brothers and sisters, Ndugu yenu nasumbuliwa sana na hili swali, natafuta jibu halipatikani, naamin hapa kwa great thinkers nitapata jibu "Mwaka 2011 wanafunzi zaidi ya 5000...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tupia majina ya vyakula na vinywaji vilivyoadimika. Naanza: kibogold, thekick, thebingwa, ugaliwayanga, bulga.
1 Reactions
79 Replies
10K Views
Usiku huu nimeondokewa na babu yangu kipenzi..Eee Mungu mlaze mahala pema peponi Babu yangu.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kuna jamaa mmoja.. teh teh teh he he inhi inhi inhi ee ehe hee ihi he he he he he hee he he teh teh alikua... hehe teh teh inhi ee
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Michael Clarke Duncan: a gentle giant | Movie Editor's Blog Many of us are genuinely sad over the death of Michael Clarke Duncan . He wasn't the most high profile star in Hollywood, but thanks to...
0 Reactions
0 Replies
778 Views
Back
Top Bottom