Hivi JF ingekuwa kama bunge unadhani ingekuwaje?tungekuwa member wote tunakutana kwenye ukumbi hivi wewe ungeingia na silaha gani?maana hapa hatuonani lakini timbwili halisemeki,mimi ningeingia na...
MTOTO: baba kuna tofauti gani kati ya kilichopo katikati ya mapaja ya mama na kwako?
BABA: kwa mama yako kuna geti la kuingilia PARADISO na kwangu kuna UFUNGUO wa kufungulia hilo geti
MTOTO...
Naomba kujua umesoma nini ambacho unakikumbuka na ambacho kwa namna moja au nyingine kimesadia kubadili maisha yako.
Siri zipo kwenye maandishi, ndio maana wanasema, ukitaka kumficha Mwafrika...
I have never wore the stuff, the most i've worn is eyeliner and mascara and that is rear.
I see women with a face full of the stuff, some even looking like they've been 'tangoed' and I wonder...
wakubwa,
Dalili ya mafanikio katika safari yoyote ile,iwe safari ya ukombozi,safari ya kupambana na maisha n.k....Ni lazima iwe na usaliti.Rejea safari za yesu,alisalitiwa na Yuda na petro,rejea...
Jamani kwa niaba ya Mabachela woote waliopo hapa jamvini napenda kuwajulisha tuko mbioni kuanzisha umoja maalum kwa ajili yetu, huu utatusaidia kutetea haki zetu ikiwa ni pamoja na kusaidia pale...
nina kiu mie jamani kiu kiu kiu.......
Kiu imenibana jamani..........
Kiu inanitesaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
kiu inaniumizaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
hii kiu niifanyajee?
Tena kiu ya leo ipo...
kweli wanawake wana gharama!kila kiungo chao kinahitaji pesa table saliver
nywele zinataka dawa
masikio hereni
macho wanja na shado
pua inataka kipini
mdomo liop stik
uso .poda na foundation...
Baba mmoja alikuwa na mtoto wake wa kiume akawa anataka kumlea ktk maadili mema ili asifuate ya dunia.
Siku moja mtoto alikuwa akicheza na wenzake, mara wakakorofishana mwenzake akamtukana...
Wapenzi wote wa chitchat
Awali ya yote napenda nitoe shukrani zangu za dhati kwa shindano hili, kwa wapiga kura wote.
Shukrani za kipekee ziende kwa barafu wa Moyo wangu ErickB52 kwa kuwa nami...
Polisi wapo katika upekuzi mkubwa wa kutafuta matahira wanaosoma vichekesho kwa macho na kimoyomoyo.
Kutokana na hilo, upo chini ya ulinz!
Na kwa kuzidi kuonyesha kuwa wewe ni tahira totally eti...
Happy birthday to You!
Happy birthday to You!
Happy birthday dear Vin Diesel!
Happy birthday to You!
How old are you now?
How old are you now?
Happy b'day happy b'day, happy...
kulikuwa na mmarekani ,mkenya na mtanzania maongez yalikuwa hiv
mmarekan :sisi kwetu kuna maghorofa marefu sanaa
mkenya:yanafika mbinguni?
mmarekan:kwa chini kidoooogo
mkenya nae:sisi kwetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.