WAPENDWA NITAKUWA SITOWATENDEA HAKI KUKAA KIMYA KWA KUONA YALIOTOKEA JAANA NJIA YA LUGALO KUELEKEQ MBEZI BEACH..ILIKUWA MIDA YA SAA NNE NA NUSU NAREJEA KUTOKA MIHANGAIKO YA DUNIA UKITOKEA MWENGE...
sababu 6 kwa nini napenda bia kuliko mwanamke...! 1;ukienda baa una uhakika wa kupata bia bila kubembeleza (haina mapozi) 2; ukiagiza bia ya pili ya kwanza haichukii (haina wivu) 3;Unapoagiza...
habari ya weekend!
ivi na perfume zenu zinaandikwagga kama ivo hapo juu?
au ni hii COBRA yangu tu? na je ina maana gani?
mana kuna mtu kasema eti ni kwa ajili ya chooni...khaaa!
Taja maneno hatari yaliyojificha ndani ya maneno yaliyoorodheshwa hapo chini. Yanapatikana kwa kupunguza baadhi ya herufi. Mfano: Zingatia=Tia, Uchina=Uchi. Pia waweza kuweka zaidi ya yaliyo hapo...
Nitoe shukran zangu za dhat kwa wa JF wote wake kwa waume kwa dua zenu kwa muda wote wa safari yangu niwatakie kila la kheri na mwnyz mungu awazidishie pale mlikopungukiwa nimesfr salama nmerd...
Hapahitajiki debate kua mfumo wa Westernization ambao is an article about the influence of Western culture.
Customs ya Western ndiyo civilization ilipoanzia , na baadae wakaja kuwafundisha...
Kama vile Chupa Mpya ila kinywaji kilekile, au Mtandao uleule ila jina jipya na mimi hivyo hivyo...
ID mpya, Mdau yuleyule.... Formerly Known as The Kid, Only Kid, Mme wa charminglady...
Habari za kuanza weekend wakubwa
Baada ya kumaliza kinyanganyilo cha kuwasaka wawili watao ingia fainali,hatimaye wale washindi tola katika kila kundi wana chuana ili kumsaka Miss chitcha...
Habhari yenu wakubwa.
Ifuatayo ni orodha ya wanaowania/walio pendekezwa kushindania lile taji la miss chitchat mwezi sept,yapo makundi 2(A na B) :- Orodha kundi A ni Arabela Remmy beibe nasty...
Katika kuchunguza hapa na pale nilikuja kugundua mara nyingi wanadamu tunapokutana na wenzetu, huwa tunaangaliana machoni hata kama ni kwa kuibia.
Hii hutokea barabarani, mikutano na mahali...
Hapa wadau naomben ukweli,Ni picha ipi inayojijenga ndani Bongo zetu pindi unapo tongoza au kutongozwa.....
Kwa Mwanamke unapotöngozwa kichwani mwako huwaza nini kikubwa?
Kwa mwanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.