Nikiwataja kwa majina sitawamaliza But Naomba niwatakie wote Ijumaa Njema.
Leo mimi naanzia Didz Pub Masaki na Kitimoto ya Isaya.
From there I will be heading to Sansiro.
Enjoy guys!!!!!!!!!!!!!!
Wana chitchati mnaombwa kujitokeza kupiga kura kwa awamu ya kwanza ya mashindano ya kumsaka miss chitcha kwa mwezi sept,unaombwa kujitokeze kupiga kura tafadhali ili tuwapate wawili watako ingia...
Sssh! Knw what? God loves you! And He says He knows the plans He is having for you! Not bad, but to give you your future. The one you are hoping for! Erickb52, Mungu anajua unavyotamani lile gari...
Tz wez au sio wezi skia
hii:wajapani wameunda mashne
ya kukamatia wez na kuipeleka
nch zifuatazo kwa majarbio URUS
baada ya nusu saa imekamata
wez 40,JAMAICA baada ya dk 20
ikakamata wez...
SEMINA UBUNGO PLAZA,watu wakaanza kujitambulisha,Mtu wa1: mimi naitwa John niko UDOM Mwaka wa 2, nasoma LAW.Mtu wa 2: mimi naitwa Stella niko UDSM mwaka wa 3 nasoma PUBLIC RELATION.Mtu wa3: kwa...
Je umejipangaaje? Hapo mwanzo Mungu aliumba ulimwengu na wanyama wake.
Kila mnyama alipewa
miaka ya kuishi 30. Kati ya wanyama walioumbwa walikuwa Punda, Mbwa na
binadamu. Mungu akawauliza wanyama...
kwa mujibu wa Invisible na wakuu wengine.
ID yangu ndo unique kuliko zote JF,
hii ndo ID ya kwanza kuwa na Herufi moja tu,
2. hii ndo ID fupi kuliko zote JF
id gani zingine zisizo za...
Ni mtu anayefuata kwa ubovu baada ya kichaa, anapata shida sana kutafuta poi la kujitambulisha, espeshale mwenye nyumba anapokuwa amekunja uso wa ndimu.
Anaongoza kwa kuwa na vitu vingi ambavyo...
...e bana kuna watu wadaku!
uko kwenye daladala,au sehemu nyingine unaCHAT.
jirani yako kakomaa...katupia jicho simu yako...kuona msg zinazoingia na kutoka!
kiufupi huwa inaboa na inamnyima...
Leo ni birthday yangu namshukuru Mungu ni mzima wa afya, (kwa muonekano na ninavyo jisikia) lakini sifurahii miaka inapoongezeka ningependa niendelee kuwa kijana...
Nakwenda kupima ngoma kwani...
habari zenu wana jf nimewamis kwanza sikua vizuri sikuchache zilizopita ila mi nahitaji kufahamu kwa muda huu unawaza nin kwa kichwa chako?
Beibe nasty mke wa judgement asanteen saana
Wife: my husband, itz time to wake up for work.
Husband: ooh no, today I am not going.
Wife: why you don't?
Husband: I got fired by my boss.
Wife: why?
Husband: I don't know, I just...
Jana ndio nimetoka gereza la ban nililo kuwepo for two months..walah ban inauma si mchezo..ushapigwa BAN wewe..embu tuelezee ulichokua unakimiss zaidi?? mimi nilimiss sana hapa Chit na MMU...
Hakika nasema iko siku mtu atamwagiwa uji wa moto humu jamvini. We fikiria mtoto wa kiume umejikunja,ukajinyima ukawekeza ,halafu jitu kama Erickb52 , Nyani Ngabu au Asprin linakuja linaparamia tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.